Bruno Gutmann : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
→Mafunzo ya umisionari: taipo |
||
Mstari 5:
==== Mafunzo ya umisionari ====
Baada ya kutimiza umri wa miaka 18, Bruno alikubaliwa katika [[seminari]] ya Misioni ya Kilutheri huko Leipzig . Kunzia mwaka 1895 alifuata kozi ya kumpa [[elimu ya sekondari]], elimu ya lugha ya [[Kilatini]] na lugha asilia za [[Biblia]] ([[Kiyunani|Kigiriki]] na [[Kiebrania]]) na mafunzo ya [[theolojia]] ya kiprotestanti. Kwenye seminari aliteuliwa kwenda [[Uhindi]], hivyo alijifunza pia [[Kiingereza]], [[Kisanskrit]] na [[Kitamil|Kitamili]]. Gutmann alisoma pia kozi kadhaa kwenye [[Chuo Kikuu cha Leipzig]] alipojiunga na kozi za [[saikolojia]] ya kijamii na [[historia]]. 1901 alimaliza masomo ya theolojia akabarikiwa kuwa mchungaji akatumwa kwa mwaka mmoja kuhudumia kanisa
Aliporudi Leipzig mwelekeo wake ulibadilishwa; Bruno alikubali kubadilishana nafasi na mwanafunzi mwenzake aliyetakiwa kwenda Kilimanjaro lakini aliogopa afya ya mke wake ingekuwa hatarini kwenye mazingira magumu. Gutmann hivyo alipewa wiki chache kusoma misingi ya [[Kiswahili]].
==== Hatua za kwanza katika Afrika ====
|