Baraza la mawaziri Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Rescuing 2 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8 |
||
Mstari 1:
'''Baraza la Mawaziri la Tanzania''' ni ngazi ya juu ya [[serikali]] au mkono wa utendaji wa [[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]] katika mfumo wa [[mgawanyo wa madaraka]].
Baraza hili linaundwa na [[rais]], makamu wa rais, [[rais wa Zanzibar]], [[waziri mkuu]] na mawaziri wote wanaoongoza moja ya [[Wizara za Serikali ya Tanzania|wizara za serikali ]]. <ref>{{cite web |url=http://www.tanzania.go.tz/cabinet.htm |title=Cabinet of Tanzania |date=
Mikutano ya baraza huongozwa na Rais kama [[mwenyekiti]], kama Rais hayupo basi mikutano hiyo huongozwa na Makamu wa Rais, na kama wote wawili hawapo mikutano hiyo huongozwa na [[Waziri Mkuu]].<ref>
Serikali iliyopo ilitangazwa na [[John Magufuli]], rais wa tano wa Tanzania baada ya [[uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020|uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020]] mnamo tarehe [[6 Desemba]] [[2020]].
|