Santilya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8 |
||
Mstari 19:
}}
'''Santilya ''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Mbeya Vijijini]] katika [[Mkoa wa Mbeya]], [[Tanzania]]. Wakati wa wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17,578 <ref>
Santilya ni kitovu cha Umalila na wenyeji asilia ni hasa [[Wamalila]]. Katika mazingira ya Santilya dhehebu la [[Jeshi la Wokovu]] lina wafuasi wengi kiasi. Kuna shule ya sekondari.
|