Utoto wa Yesu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8
Mstari 96:
Kumbe [[vitabu]] vingine vilivyoandikwa baadaye, kuanzia [[karne ya 2]], kama vile [[Injili ya Yakobo]], vinasimulia mengi, ila hayana hakika au hayaaminiki kabisa. Inaonekana lengo la habari hizi mpya lilikuwa kumuonyesha [[mtoto Yesu]] akifanya [[muujiza|miujiza]] kuanzia umri mdogo.
 
Kati yake labda maarufu zaidi ni ile ya kwamba alifinyanga [[Ndege (mnyama)|vindege]] kwa [[udongo]] na hatimaye kufanya viruke alipoulizwa kwa nini anafanya [[kazi]] ya namna hiyo siku ya [[Sabato]].<ref name=roten>[{{Cite web |url=http://campus.udayton.edu/mary/Jesus%20as%20a%20Child.pdf |title=Roten, J. and Janssen, T., "Jesus as a Child"] |accessdate=2014-07-27 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20140513225634/http://campus.udayton.edu/mary/Jesus%20as%20a%20Child.pdf |archivedate=2014-05-13 }}</ref>
 
==Tanbihi==