Guinea (kanda) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
'''Guinea''' ni jina la kihistoria kwa ajili ya kanda ya kusini ya [[Afrika ya Magharibi]] kati ya [[jangwa]] [[Sahara]] na [[Atlantiki]]. Nchi zote kuanzia [[Senegal]] hadi kaskazini ya [[Angola]] zilihesabiwa kuwa "Guinea". Waandishi wa Ulaya walitofautisha "Guinea ya Juu" (Senegal hadi Kamerun) na "Guinea ya Chini" (Kamerun hadi Angola).
 
Lugha za Ulaya zilikuwa na majina ya kihistoria kwa ajili ya sehemu mbalimbali yaza pwani la Guinea ya juu: Pwani la Pilipili, Pwani la Meno ya Ndovu, Pwani la Dhahabu na Pwani la Watumwa. Majina haya yametokana na biashara kuu katika sehemu zile. Jina la "Pwani la Meno ya Ndovu" linaendelea kutumika katika nchi ya Cote d'Ivoire (Ivory Coast). Ghana lilitwa "Pwani la Dhahabu" hadi uhuru.
 
Jina la "Guinea" limetokana na jina la kale kwa ajili ya sehemu kubwa ya upande wa kusini ya Afrika ya Magharibi likimaanisha "nchi ya watu weusi" kwa lugha ya kiberber. Maelezo mengine yasema ni umbo la jina "Ghana" kutokana na ufalme wa kale.