Mzee : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8
 
Mstari 17:
Wakati umri unazidi na wazee wanakuwa dhaifu [[ugumu]] unaanza kuendelea na cheo cha heshima. Hata hivyo wote wanapaswa kuonyesha heshima kwao hata kama hali halisi hawatajali tena ushauri wao.
 
[[Tatizo]] hilo ni tofauti kati ya tamaduni za kimila ambako watu dhaifu hawaishi [[muda]] mrefu sana kutokana na [[uhaba]] wa nafasi za [[tiba]] upande mmoja na tamaduni zilizoendelea ambako nafasi za tiba zinawezesha watu wengi kufikia umri mkubwa ambako [[asilimia]] inaanza kupoteza [[akili]] au uwezo wote wa kutembea kwa miaka mfululizo.<ref>[{{Cite web |url=http://faculty.usfsp.edu/jsokolov/webbook/fry.pdf |title=Culture and the Meaning of a Good Old Age] |accessdate=2015-04-15 |archivedate=2015-11-29 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20151129111801/http://faculty.usfsp.edu/jsokolov/webbook/fry.pdf }}</ref> Kama idadi ya wazee dhaifu mno inazidi ni vigumu kuendelea na hoja ya heshima kwa wazee.
 
==Mzee katika tamaduni mbalimbali==