Mzumbe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8
Mstari 1:
'''Mzumbe ''' ni kata ya [[Wilaya ya Mvomero]] katika [[Mkoa wa Morogoro]], [[Tanzania]] yenye [[Postikodi Tanzania|Postikodi namba]] 67311. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 19,056 <ref>{{Cite web |url=http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |title=Sensa ya 2012, Morogoro - Mvomero DC |accessdate=2015-03-22 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160303225919/http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |archivedate=2016-03-03 }}</ref> walioishi humo.
 
Mzumbe ilikuwa mahali pa chuo cha utawala (Local Government School) kilichoanzishwa 1953 wakati wa [[Tanganyika Territory]] chini ya Uingereza kilichoendelea kuwa "Institute of Development Management (IDM-Mzumbe)"; tangu mwaka 2001 hadhi ya taasisi ilipandishwa tena kuwa [[chuo kikuu]] cha [[Mzumbe University]].<ref>[{{Cite web |url=http://site.mzumbe.ac.tz/index.php/2015-11-17-00-38-54# |title=Kuhusu Chuo kikuu cha Mzumbe] |accessdate=2016-06-04 |archivedate=2016-05-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160508193904/http://site.mzumbe.ac.tz/index.php/2015-11-17-00-38-54 }}</ref>
 
Mzumbe ina watu wa ma[[kabila]] mbalimbali, lakini hasa ni asili ya kabila la [[Waluguru]].