Bernardino wa Siena : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8 |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Pintoricchio 019.jpg|right|thumb|250px|[[Pinturicchio]] (1486), ''Utukufu wa Mt. Bernardino da Siena'', [[Roma]], kanisa la [[Santa Maria in Aracoeli]]]]
[[Image:Bernardino - Della confessione regole 12., Adi ultimo di gennaio MCCCCLXXXXIIII - 2473056.tif|thumb|''Della confessione regole 12.'', 1494]]
'''Bernardino wa Siena''' ([[8 Septemba]] [[1380]] - [[20 Mei]] [[1444]]) alikuwa [[mtawa]] wa shirika la [[Ndugu Wadogo]] na [[kasisi]] wa [[Kanisa Katoliki]].
== Maisha ya awali ==
[[File:Sancti Bernardini Senensis Opera omnia.tif|thumb|''Sancti Bernardini Senensis Opera omnia'', 1745]]
Alizaliwa na kubatizwa [[Massa Marittima]] ([[Siena]]) [[tarehe]] 8 Septemba 1380 katika [[familia]] [[Albizzeschi]] kutoka Siena, ambako alihamia baada ya kubaki [[yatima]], ili alelewe na
▲Alizaliwa na kubatizwa [[Massa Marittima]] ([[Siena]]) tarehe 8 Septemba 1380 katika familia [[Albizzeschi]] kutoka Siena, ambako alihamia baada ya kubaki [[yatima]], ili alelewe na ndugu zake na kusomeshwa.
== Wito na utume ==
Akiwa na miaka 22, alijiunga na [[utawa]], katika [[tawi]] la [[urekebisho]] wa [[Waobservanti]], ambalo akawa [[nguzo]] yake kuu, pamoja na [[Yohane wa Kapestrano]], [[Yakobo wa Marka]] na [[Alberto wa Sarteano]].
Kisha akaanza [[utume]] mkubwa akihubiri kwa mafanikio katika [[Italia Kaskazini]]. [[Kazi]] yake
== Kifo ==
Line 18 ⟶ 16:
== Heshima baada ya kifo ==
Kutokana na sifa yake kubwa, alitangazwa [[mtakatifu]] na [[Papa Nikolasi V]] mwaka [[1450]].
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila tarehe [[20 Mei]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Tazama pia==
Mstari 27:
== Marejeo ==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
{{Commons category|Bernardino of Siena}}▼
* [http://www.aug.edu/augusta/iconography/bernardino.html St. Bernardino page] {{Wayback|url=http://www.aug.edu/augusta/iconography/bernardino.html |date=20120428181646 }} at ''Christian Iconography''
{{mbegu-Mkristo}}
▲{{Commons category|Bernardino of Siena}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1380]]
[[Jamii:Waliofariki 1444]]
|