Diamond Platnumz : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 41.75.220.156 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Abbyskillz
Tag: Rollback
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 16:
}}
 
'''Naseeb Juma Isaac''' (maarufu kwa [[jina la kisanii]] kama '''Diamond Platnumz'''; majina mengine ya kisanii ni Chibu na Simba; alizaliwanimzaliwa wa [[Dar es Salaam]],Tanzania alizaliwa [[2 Oktoba]] [[1989]]) ni [[msaniimwimbaji]] wa nyimbo za [[Bongo Flava]] na dansa kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa muziki wa Kitanzania ambaye ana uwezo mkubwa wa kiushindani dhidizaidi ya [[wasanii]] wa ma[[taifa]] mengine. Hivyo ana mashabiki wengi ndani na nje ya [[Tanzania]]. Inasemekana kuwa msanii wa Mashariki na Kati mwa Afrika anayependwa na kupambwa kwa sasa.
 
Amekuwa na [[nyimbo]] nyingi zikiwa ni pamoja na "Number One" ambao aliuimba na [[mtaalamu]]na wamwimbaji tokea nchini [[Nigeria]] maarufu kama [[Davido]].
 
Nasibu Juma alishinda tuzo nyingi katika Channel O na Hip-hop Music Awards. Pia alifanya kazi katika Mkutano Mkuu wa Ndugu Afrika Mei [[2012]].