Mango : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4:
Kama mango inabadilika kuwa kiowevu tunasema inayeyuka. Kama inabadilika kuwa gesi au [[mvuke]] moja kwa moja tunaliita badiliko hili [[mvukemango]].
Maana ya kiasili ya "mango" ni jiwe gumu nyeusi iliyotumiwa kutwanga kumetesha au kukatua kitu. <ref>linganisha Madan, Swahili-English dictionary, Oxford 1903. uk. 207 "Mango, n. a hard, black, rounded stone used for pounding, smoothing, and polishing."</ref>
== Atomi katika hali maada mbalimbali ==
|