Mango : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mango''' (wakati mwingine pia: '''yabisi'''<ref>"Mango" ni matumizi jinsi yalivyopendekezwa zaidi katika [[kamusi]] za [[TUKI]]; pia vitabu vipya vya [[shule]] za [[sekondari]] [[Tanzania]] zinavyoandaliwa kwa [[Kiswahili]], kama vile "Jifunze Fizikia", iliyotolewa na [[Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili]], 2015. "Yabisi" inataja zaidi hali ya ugumu kutokana na kukauka. Linganisha Madan, Swahili-English dictionary, Oxford 1903. uk. 433: "Yabisi, a. and Yabis, dry, hard, solid, e. g.
Katika hali mango [[atomu]] zinakaa mahali pamoja katika gimba hazichezi wala kutembea ndani yake. Kila atomu ina mahali pake. Gimba mango lina umbo, mjao na uzani maalumu. Umbo mango lina urefu, upana na kimo chake, tofauti na kiowevu kinachobadilisha umbo kufuatana na chombo chake au gesi isiyo na umbo wala mjao maalumu.
|