Shirika Lisilo la Kiserikali : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Reverted Mobile edit Mobile web edit
d Masahihisho aliyefanya 41.75.210.240 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Idd ninga
Tag: Rollback
Mstari 4:
Mashirika yasiyo ya Kiserikali yako kwenye ngazi ya miji, maeneo, kitaifa na kimataifa.
 
Kati ya shirika zisizo za serikali zinazojulikana zaidi kimataifa ni [[Shirika za msalaba mwekundu na hilali nyekundu|Msalaba Mwekundu]], makanisa na vyama vyao kama vile [[Caritas]] au [[Diakonia]], shirikia nyingine za kidini zinazotoa huduma za umma, [[Amnesty International]], [[Madaktari wasio na Mipaka-MSF]], [[Oxfam]] na wengi wengine. Jumla la shirika zisizo za serikali zinazofanya kazi kwenye kiwango cha kimataifa hukadiriwa na [[Umoja wa Mataifa]] kufikia takriban 40,000. Umoja wa Mataifa hujaribu kuzikusanya kwenye mikutano za kijamii za dunia.
 
Shirika hizi zapata pesa zao kwa njia ya zawadi na michango kutoka kwa watu ama wanachama au umma kwa jumla. Mara nyingi zinatumia pia pesa kutoka serikali mbalimbali kwa sababu zina nafasi ya kufikia mahali ambako serikali haziwezi kutuma watumihsa kwa sababu za kisiasa.
 
Kwa mfano shirika zisizo za serikali zilifanya kazi ya kutunza wakimbizi katika Sudan ya kusini wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe zikitumia pesa za Umoja wa Ulaya au serikali mbalimbali zilizotengwa kwa usaidizi wa watu matatizoni. Lakini kutokana na sababu za kisiasa serikali hizi hazikuweza kupeleka usaidizi kwa watu wenyewe pale walipokaa katika shida ila shirika zisizo za serikali zilikuwa na uhuru wa kujadiliana na pande zote na kuingia kila mahali ikiwezekana.
 
== Tazama pia ==
* [[Transparency International]]
 
{{mbegu-siasa}}
<!-- interwiki -->
 
[[Jamii:Siasa]]
[[Jamii:Mashirika]]