Jinai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tag: 2017 source edit |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Jinai''' ni kitendo kinachofanywa na [[Binadamu|mtu]] ambacho ni kinyume sana na [[sheria]] za [[nchi]] au eneo. Kwa hiyo jinai inafafanuliwa na [[sheria]] inayotaja matendo maalum kuwa vile<ref>[https://sheriakiganjani.co.tz/page.php?key=226<nowiki> Nini maana ya jinai?], tovuti ya Sheria Kiganjani, inayotolewa na Tanganyika Law Society</nowiki></ref>.
Matendo yanayotajwa kama jinai
Kwa kawaida tendo fulani linahitaji kutendwa pamoja na nia ya kuvunja sheria ili kutajwa kama jinai. Hata hivyo, pia matendo maalum yanayotendwa "kwa namna ya kutokuwa mwangalifu au kupuuza kwa kiasi cha kuhatarisha maisha ya binadamu au kusababisha dhara kwa mtu mwingine yeyote"<ref>Kanuni ya Adhabu Tanzania (Penal Code , Chapter 16 of the Laws (revised), Jinai kwa kutojali na kupuuza, ss. 233. ([https://sheriakwakiswahili.blogspot.com/p/downloads.html<nowiki> online hapa])</ref> yanaweza kuangaliwa kama jinai.
Ilhali kila jinai inavunja sheria, siyo kila
Kutokea kwa jinai kunahitaji
== Marejeo ==
Mstari 44:
}}
* Vinogradoff, Paul. (1909). ''Roman Law in Medieval Europe''. Reprint edition (2004). Kessinger Publishing Co. ISBN 1-4179-4909-0
{{sheria}}
[[Jamii:Sheria]]
[[jamii:Makosa ya jinai]]
|