Aten : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tag: 2017 source edit |
No edit summary Tag: 2017 source edit |
||
Mstari 1:
[[Picha:La_salle_dAkhenaton_(1356-1340_av_J.C.)_(Musée_du_Caire)_(2076972086).jpg|thumb|351px| Farao [[Akhenaten]] na malkia [[Nefertiti]] wakiabudu Aten]]
[[Picha:Aten.svg|thumb|200x200px| Aten]]
'''Aten''' (pia '''Aton''') ni jina la [[Jua]] lililoabudiwa kama mmoja ya [[
Polepole wakati ibada za Aten yenyewe zilianza na chini ya [[Amenhotep III|Farao Amenhotep III]] (1386 KK hadi 1349 KK) Aten aliabudiwa akionyeshwa kama binadamu mwenye kichwa cha [[Kozi|ndege kozi]], sawa na picha za Ra. Mwanawe Amenhotep IV aliyebadilisha jina lake baadaye kuwa Akhenaten alikuwa mungu wa pekee aliyeabudiwa na mfalme na kwa niaba ya serikali yake. Akhenaten alibadilisha pia namna ya kumwonyesha akitumia duara yenye miale pekee.
|