Misri ya Kale : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tag: 2017 source edit
No edit summary
Mstari 3:
'''Misri ya Kale''' ni [[ustaarabu]] uliokuwepo [[Afrika kaskazini]], sambamba na mto [[Naili]], kuanzia kwenye [[delta]] au [[mdomo]] wa Naili, toka [[kaskazini]] mwa [[Misri]] kwenda [[kusini]] hadi [[Jebel Barkal]], kwenye [[maporomoko]] ya nne, wakati wa kupanuka kwake ([[Karne ya 15 KK]]).
 
Ustaarabu huo ulidumu kwa karibu [[milenia]] tatu, toka takribani mwaka [[3200 KK]] hadi mwaka [[30 KK]] nchi ilipovamiwa na [[Waroma wa Kale|Waroma]] na kuwa sehemu ya [[Dola la Roma]]. Historia ya kisiasa hutazamiwahutazamwa kuanza na [[Farao Menes]] manmaomnamo [[3200 KK]] na kuishakwisha na [[uvamizi]] wa [[Wagiriki]] chini ya [[Aleksander Mashuhuri|Aleksander Mkuu]] mnamo [[332 KK]]. Kinachofuata kilikuwa kipindi cha Misri kama nchi ya kujitegemea chini ya mafaro[[Farao|mafarao]] Wagiriki ([[nasaba ya Ptolemaio]]) hadi kuvamiwa na Waroma na kuwa [[jimbo]] la Dola la Roma.
 
[[Uti wa mgongo]] wa Misri ya Kale ulikuwa mto Naili. Sehemu kubwa ya nchi hiyo ni [[jangwa]] lakini [[umwagiliaji]] wa [[shamba|mashamba]] kwa njia ya [[maji]] ya mto huo ulileta [[zao|mazao]] mazuri yaliyolisha watu wengi.
 
Mahitaji ya kupanga na kutunza [[mifereji]] pamoja na mitambo ya umwagiliaji na kusimamia ugawaji wa maji yalisaidia kutokea kwa vyanzo vya [[hisabati]] na [[mwandiko]]. [[Mwandiko]] wa Misri ulikuwa [[hiroglifi]] zilizokuwa aina ya mwandishi wa [[picha]].
 
[[Dini]] ya Misri ilitarajia [[maisha]] baada ya [[kifo]] ambayo yanapaswa kuandaliwa na watu wakati wa maisha haya.
 
[[Wafalme]], walioitwa Ma[[farao]], walijengewa [[kaburi|makaburi]] makubwa sana na [[piramidi]] zao ni kati ya makaburi makubwa kabisa [[duniani]].
 
==Vipindi vya historia ya Misri ya Kale==
Historia ya Misri hugawiwa kufuatana na [[nasaba]] za wafalme wake ambao kwa jumla zilikuwa 31. Kuna ugawaji wa kimsingi kwa vipindi vitatu vikuu vitatu:
*Himaya ya Kale ya Misri (3200 KK - 2100 KK)
*Himaya ya Kati ya Misri (2100 KK - 1500 KK)
*Himaya Mpya ya Misri (1500 KK - 332 KK)
 
Siku hizi wanahistoria wamezowawamezoea ugawaji wa undani zaidi, ilhali miaka ya kuanza na kuishia mara nyingi hayana uhakika.
*Historia ya awali ya Misri: vor 4000 KK hivi
*Kipindi kabla ya maungano ya Kusini na kaskaziniKaskazini: ca. 4000 kkKK – 3100 KK
*Kipindi cha nasaba za kwanza: 3100 KK– 2700 KK (Nasabanasaba 1 na 2)
*Himaya ya Kale: 2686 KK –2181 BCKK (nasaba ya 3 – 6)
*Kipindi cha kwanza cha mpito: ca. 2216–2137 KK hivi (nasaba ya 7. bis- 11)
*Himaya ya Kati: ca. 2137–1781 KK hivi (nasaba ya 11 - 12)
*Kipindi cha pili cha mpito: ca. 1648–1550 KK hivi (nasaba ya 13 – 17)
*Himaya Mpya: ca. 1550–1070 KK hivi (nasaba ya 18 – 20)
*Kipindi cha tatu cha mpito: ca. 1070–664 KK hivi (nasaba ya21ya 21 - 25)
*Kipindi cha mwisho: ca. 664–332 KK hivi (nasaba ya 26 – 31)
*Kipindi cha Wagiriki: 332 KK bis- 395 n. Chr (nasaba ya Ptolemayo)
 
{{mbegu-historia}}