Memphis, Misri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tag: 2017 source edit |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Memphis200401.JPG|thumb|Mabaki ya ukumbi wa nguzo, Memphis ya Kale (leo Mit Rahineh)]]
'''Memphis''' ilikuwa [[mji mkuu]] wa [[Misri]] ya [[Kaskazini]], na baadaye pia ya [[Misri ya Kale]] yote kuanzia maungano ya Misri ya Kaskazini na Misri ya Kusini chini ya [[Farao Menes]] hadi karibu [[mwaka]] [[2200 KK]]. Baadaye ilirudi tena kama mji mkuu wakati wa Ufalme Mpya wa Misri. <ref>Katheryn A. Bard, ''Encyclopedia of the Archaeology of Ancient Egypt'', Routledge 1999, p.694</ref> Kilikuwa [[kitovu]] cha [[utawala]] hadi utawala wa [[Roma ya Kale|Kiroma]]
[[Jina]] lake la zamani
[[Miji]] ya kisasa ya Mit Rahina, Dahshur, Saqqara, Abusir, Abu Gorab, na Zawyet el'Aryan, [[kusini]] mwa [[Kairo]], yote iko ndani ya mipaka ya kiutawala ya Memphis ya kihistoria ( 29°50′58.8″N, 31°15′15.4″E ).
Memphis pia ilijulikana katika [[Misri ya Kale]] kama '''Ankh Tawy''' ("Inayoshika nchi zote mbili") kwa sababu ya nafasi ya kimkakati ya mji kati ya Misri ya kusini na Misri ya kaskazini.
[[Picha:Egypt-Hieroglyphs.jpg|thumb|
Katika [[
Maghofu yake pamoja na maeneo mapana ya [[Kaburi|makaburi]] ya enzi za Misri ya Kale, pamoja na [[Sakara]] na [[Piramidi za Giza|Pirmidi za Gizeh]], yamepokelewa katika orodha ya [[Urithi wa Dunia]] ya [[UNESCO]]<ref>[https://whc.unesco.org/en/list/86 Memphis and its Necropolis – the Pyramid Fields from Giza to Dahshur], tovuti ya Unesco, iliangaliwa Machi 2021</ref>.
== Marejeo ==
Mstari 18:
== Vyanzo ==
* Baines & Malek ''Atlas ya Utamaduni ya Misri ya Kale'', 2000
==
Coordinates: 29°50′40.8″N, 31°15′3.3″E
{{mbegu-jio-Misri}}
[[Jamii:Mahali pa Urithi wa Dunia katika Afrika]]
[[Jamii:Misri ya Kale]]
|