Peloponesi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Kipala alihamisha ukurasa wa Peloponnese hadi Peloponesi |
No edit summary Tag: 2017 source edit |
||
Mstari 1:
[[Picha:Location map of Peloponnese (Greece).svg|thumb|300px|Peloponesi katika Ugiriki]]
Jina la kihistoria ya rasi lilikuwa Morea (Μωριάς ''morias'').
Eneo lote la Peloponesi ni kilomita za mraba 21,549. Kuna watu 1,155,000 walioishi hapa kwenye mwaka 2011.
Line 11 ⟶ 10:
== Jiografia ==
Rasi hiyo ina milima mingi na pwani lenye hori ndefu zinazoingia ndani ya nchi. Mlima mrefu ni Taygetos unaofikia mita 2,407 juu ya UB. Rasi yote inakabiliwa na [[mitetemeko ya ardhi]] ya mara kwa mara.
Mji mkubwa zaidi ni Patras yenye wakazi 170,000.
===
[[Picha:Lions-Gate-Mycenae.jpg|thumb| Lango la Simba huko Mycenae .]]▼
[[Picha:Olympia_-_Temple_of_Hera_3.jpg|thumb| Hekalu la Hera, Olimpia .]]▼
Rasi hii iliona vipindi na watendaji muhimu katika historia ya Ugiriki ya Kale. ▼
<nowiki>*</nowiki>Ustaarabu wa Mikene ulistawi manmo mwaka 1600 KK - 1100 KK ulikuwa eneo la maendeleo ya tekinolojia ya [[Zama za shaba|zama za bronzi]] katika Ulaya. Mikene ilikuwa mji kwenye kaskazini ya Peloponesi.▼
* Tangu mwaka 776 KK [[Michezo ya Olimpiki|Michezo ya]] [[Michezo ya Olimpiki|Olimpiki]] ilifanyika Olimpia kwenye magharibi mwa Peloponesi.▼
* Miji mikubwa ya kale Sparta, Korintho, Argos na Megalopolis zote zilikuwa kwenye Peloponesi na kwa muda mrefu ilishirikiana katika Shirikisho la Peloponesi. ▼
* Kwenye miaka 431 KK - 404 KK vita ya Peloponesi iliona mapogano makali kati ya Sparta na Atheini.▼
* Tangu mwaka [[146 KK]] Peloponesi pamoja na Ugiriki yote ilikuja chini ya utawala wa Dola la Roma. Pamoja na sehemu zingine za Roma ya Kale hata hapa watu wengi walipokea dini mpya ya Ukristo.▼
Katika karne ya 15 Milki ya Osmani ilianza kuvamia Ugiriki na hadi mwaka 1532 hivi Ugiriki wote pamoja na Peloponesi ilikuwa chini ya Milki ya Osmani.<ref name="EI2-239">Bées & Savvides (1993), p. 239</ref>▼
* Mwaka 1821 Vita ya Uhuru wa Ugiriki ilianza Kalamata kwenye Peloponesi <ref name="Clogg2002">{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=H5pyUIY4THYC|title=A Concise History of Greece|last=Richard Clogg|date=20 June 2002|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-00479-4|pages=35–42}}</ref> ikaendelea hadi kutambuiwa kwa Ugiriki kuwa nchi huru mnamo 1830.. ▼
== Miji ==▼
Miji mikubwa zaidi ya kisasa kwenye Peloponesi ni (sensa ya 2011):
Line 49 ⟶ 25:
* Sparta - wenyeji 19,854
* Nafplio - wenyeji 18,910
▲[[Picha:Lions-Gate-Mycenae.jpg|thumb| Lango la Simba huko Mycenae .]]
▲[[Picha:Olympia_-_Temple_of_Hera_3.jpg|thumb| Hekalu la Hera, Olimpia .]]
▲Rasi hii iliona vipindi na watendaji muhimu katika historia ya Ugiriki ya Kale.
▲
▲* Tangu mwaka 776 KK [[Michezo ya
▲* Miji mikubwa ya kale [[Sparta]], [[Korintho]], Argos na Megalopolis zote zilikuwa kwenye Peloponesi na kwa muda mrefu ilishirikiana katika Shirikisho la Peloponesi.
▲* Kwenye miaka 431 KK - 404 KK vita ya Peloponesi iliona mapogano makali kati ya Sparta na Atheini.
▲* Tangu mwaka [[146 KK]] Peloponesi pamoja na Ugiriki yote ilikuja chini ya utawala wa Dola la Roma. Pamoja na sehemu zingine za Roma ya Kale hata hapa watu wengi walipokea dini mpya ya Ukristo.
* Baadaya kuporomoka kwa Dola la Rome [[Waslavi|makabila ya Waslavi]] walianza kuhamia Peloponesi; baada ya karne kadhaa Waslavi hao walikuwa wameshapokea Ukristo na kutumia lugha ya Kigiriki<ref>[[Stamatoyannopoulos, George]] et al., [http://www.nature.com/ejhg/journal/vaop/ncurrent/full/ejhg201718a.html Genetics of the Peloponnesian populations and the theory of extinction of the medieval Peloponnesian Greeks], European Journal of Human Genetics, 25.5 (2017), pp. 637–645</ref>
▲Katika karne ya 15 [[Milki ya Osmani]] ilianza kuvamia Ugiriki na hadi mwaka 1532 hivi Ugiriki wote pamoja na Peloponesi ilikuwa chini ya Milki ya Osmani.<ref name="EI2-239">Bées & Savvides (1993), p. 239</ref>
▲* Mwaka 1821 [[Vita ya Uhuru wa Ugiriki]] ilianza Kalamata kwenye Peloponesi <ref name="Clogg2002">{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=H5pyUIY4THYC|title=A Concise History of Greece|last=Richard Clogg|date=20 June 2002|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-00479-4|pages=35–42}}</ref> ikaendelea hadi kutambuiwa kwa Ugiriki kuwa nchi huru mnamo 1830..
== Marejeo ==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
{{Commons category}}
{{Wikivoyage}}
* [http://www.britannica.com/EBchecked/topic/449351/Peloponnese Britannica.com]
* [https://web.archive.org/web/20080915060918/http://www.peloponnisos.gr/ Official Regional Government Website]
* [http://www.planetark.com/dailynewsstory.cfm/newsid/43988/story.htm Greek Fire Survivors Mourn Amid Devastation in Peloponnese].
* {{cite journal | doi=10.11141/ia.34.4 | title=Storing up Problems: Labour, Storage, and the Rural Peloponnese | journal=Internet Archaeology| issue=34 | year=2013 | last1=Stewart | first1=Daniel | doi-access=free }}
[[:Jamii:Ugiriki]]
|