Osiris : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 7:
Alikuwa kaka na mume wa [[Isis]] . Walikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa [[Horus]].
 
Katika masimulizi ya Wamisri Osiris [[Kuua kwa kukusudia|aliuawa]] na kaka yake Set lakini Isis alifaulu kumrudisha katika uhai. Mama ya Osiris alikuwa [[Miungu|mungu]] [[Nati|wa kike Nut]], baba Geb<ref name="Wilkinson2">{{cite book|url=https://archive.org/details/completegodsgodd00wilk_0/page/105|title=The Complete Gods and Goddesses of Ancient Egypt|last=Wilkinson|first=Richard H.|publisher=Thames & Hudson|year=2003|isbn=978-0-500-05120-7|location=London|page=[https://archive.org/details/completegodsgodd00wilk_0/page/105 105]|url-access=registration}}</ref>, dada Nephthys, na dada na vile vile mke [[Isis]], insi ilivyo kawaida katika familia za Kifalme za Misri ambako maea nyingi dada na kaka walioana. <ref name="Wilkinson">{{Cite book|title=The Complete Gods and Goddesses of Ancient Egypt|last=Wilkinson, Richard H.|publisher=Thames & Hudson|year=2003|isbn=0-500-05120-8|location=London|page=105|doi=|oclc=}}</ref>
 
== Mungu mpendwa katika Misri ==
Mstari 13:
 
== Kazi yake ==
Osiris alikuwa mungu wa kuzimu. Jukumu moja kama bwana wa kuzimu ilikuwa kufanya hukumu ya mwisho kabisa ya wafu,. naKatika baadaimani ya hapoMisri, roho iliweza kukubaliwa katika kuzimu lakini wale waliokataliwa walizimika kabisa, ilhali hakuna mafundisho kuhusu adhabu au mateso.<ref>{{cite news|title=Letter: Hell in the ancient world. Letter by Professor J. Gwyn Griffiths|date=December 31, 1993|newspaper=[[The Independent]]|url=https://www.independent.co.uk/opinion/letter-hell-in-the-ancient-world-1470076.html}}</ref>. Osiris alihusika pia kuwalinda watu kutokana na hatari zilizohofiwa kutoka kuzimu kwa walio hai.
 
== Mwonekano ==