Osiris : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Standing_Osiris_edit1.svg|thumb|Osiris, bwana wa mauti, mwenye taji ya pekee na mwili wa kijani. Muguu yake imefungswa tayari katika kitambaa cha [[Mumia|mumia.]]]]
[[Picha:The judgement of the dead in the presence of Osiris.jpg|500px|thumb|Hukumu ya wafu mbele ya Osiris; upande wa kushoto roho inapimwa kwenye mizani]]
'''Osiris''' alikuwa mmoja wa [[miungu]] ya [[Misri ya Kale]]. Katika [[mitholojia]] ya Kimisri aliabudiwa kama [[Miungu|mungu]] wa [[uhai]], [[Mauti|kifo]], [[mafuriko]] ya [[Nile|mto Nile]], na [[Ahera|maisha ya baadaye]].
 
'''Osiris''' alikuwa mmoja wa [[miungu]] ya [[Misri ya Kale]]. Katika [[mitholojia]] ya Kimisri aliabudiwa kama [[Miungu|mungu]] wa [[uhai]], [[Mauti|kifo]], [[mafuriko]] ya [[Nile|mto Nile]], na maisha ya baadaye.
 
==Mitholojia==
Alikuwa [[kaka]] na [[mume]] wa [[Isis]] . Walikuwa na [[mtoto]] wa kiume aliyeitwa [[Horus]].
 
Katika [[masimulizi]] ya [[Wamisri]] Osiris [[Kuua kwa kukusudia|aliuawa]] na kaka yake Set lakini Isis alifaulu kumrudisha katika uhai. [[Mama]] yawa Osiris alikuwa [[Miungu|mungu]] [[Nati|wa kike Nut]], na [[baba]] Geb<ref name="Wilkinson2">{{cite book|url=https://archive.org/details/completegodsgodd00wilk_0/page/105|title=The Complete Gods and Goddesses of Ancient Egypt|last=Wilkinson|first=Richard H.|publisher=Thames & Hudson|year=2003|isbn=978-0-500-05120-7|location=London|page=[https://archive.org/details/completegodsgodd00wilk_0/page/105 105]|url-access=registration}}</ref>, [[dada]] Nephthys, na dada na vile vile mke [[Isis]], insijinsi ilivyo kawaida katika [[familia]] [[Farao|za Kifalme]] za Misri ambako maeamara nyingi dada na kaka walioana. <ref name="Wilkinson">{{Cite book|title=The Complete Gods and Goddesses of Ancient Egypt|last=Wilkinson, Richard H.|publisher=Thames & Hudson|year=2003|isbn=0-500-05120-8|location=London|page=105|doi=|oclc=}}</ref>
 
== Mungu mpendwa katika Misri ==
[[Ustaarabu]] wa Misri ulimheshimu Osiris kama mungu mmojawapo lakini pia kama [[mfalme]] wa kwanza aliyedhaniwa kuwa na [[hekima]] na [[upole]]. Katika masimulizi yao aliwafundisha watu wa Misri kuachana na [[desturi]] ya kula [[nyama]] ya [[binadamu]] na kutoa binadamu kama [[sadaka]]; aliwafundisha pia [[kilimo]] na utaratibu wa [[ibada]].
 
== Kazi yake ==
Osiris alikuwa mungu wa [[kuzimu]]. [[Jukumu]] moja kama bwana wa kuzimu ilikuwa kufanya [[hukumu]] ya mwisho kabisa ya wafu. Katika [[imani]] ya Misri, [[roho]] iliweza kukubaliwa katika kuzimu lakini wale waliokataliwa walizimika kabisa, ilhali hakuna mafundisho kuhusu [[adhabu]] au mateso.<ref>{{cite news|title=Letter: Hell in the ancient world. Letter by Professor J. Gwyn Griffiths|date=December 31, 1993|newspaper=[[The Independent]]|url=https://www.independent.co.uk/opinion/letter-hell-in-the-ancient-world-1470076.html}}</ref>. Osiris alihusika pia kuwalinda watu kutokana na hatari zilizohofiwa kutoka kuzimu kwa walio hai.
 
== Mwonekano ==
Osiris alichorwa kwenye [[Mchoro wa ukutani|taswira za ukutani]] kama [[farao]] aliyevaliwa [[vitambaa]] vya [[mumia]] kwenye sehemu ya chini ya [[mwili]] wake. Alivaa [[taji]] nyeupe yenye [[manyoya]] [[ubavu|ubavuni]] akishika [[fimbo]] laya farao. Osiris alionyeshwa kuwa na [[ngozi]] ya [[kijani]] kibichi, akiashiria kuzaliwa upya kwa Wamisri.
 
== Marejeo ==
Line 25 ⟶ 24:
*[http://www.aldokkan.com/religion/osiris.htm Osiris]—"Ancient Egypt on a Comparative Method"
*[https://www.ancient-egypt-online.com/osiris.html Osiris Egyptian God of the Underworld]
{{mbegu-dini}}
 
[[Jamii:Miungu ya Misri ya Kale]]