John Magufuli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit Advanced mobile edit |
||
Mstari 28:
'''John Pombe Joseph Magufuli''' ([[29 Oktoba]] [[1959]] - [[17 Machi]] [[2021]]) alikuwa [[rais]] wa tano wa [[Tanzania]], akitokea katika [[Chama cha kisiasa|chama]] cha [[CCM]]. Aliongoza kwa miaka mitano na nusu hadi [[kifo]] chake.
Aliwahi kuwa [[
Tarehe [[12 Julai]] [[2015]] alichaguliwa kuwa mgombea urais wa [[Tanzania]] kupitia [[Chama cha Mapinduzi]] akiwa na mgombea mwenza [[Samia Suluhu Hassan]].
Tarehe [[29 Oktoba]] 2015 [[Tume ya Taifa ya Uchaguzi]] ilimtangaza kuwa [[rais]] wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa [[Tanzania]] kwa ushindi wa [[kura]] 8,882,935 sawa na 58.46[[%]] pamoja na makamu wa rais Samia Suluhu Hassani.
|