Tibursi, Valeriani na Masimo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tibursi, Valeriani na Masimo''' (walifariki mjini Roma, Italia, 229) walikuwa wanaume walioongokea Ukristo. Kwa sababu hiyo walit...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Tibursi, Valeriani na Masimo''' (walifariki [[Mji|mjini]] [[Roma]], [[Italia]], [[229]]) walikuwa [[wanaume]] walioongokea [[Ukristo]]. Kwa sababu hiyo waliteswa na kuuawa wakati wa [[dhuluma]] ya [[Dola la Roma]] dhidi ya Wakristo, chini ya [[kaisari]] [[Alexander Severus]].
Inasemekana Valeriani alikuwa [[mume]] wa [[Sesilia]] ambaye alimvuta katika Ukristo, naye akamvuta [[ndugu]] yake, Tibursi. Walipokamatwa, [[afisa]] Masimo aliamua kuwafuata akauawa siku chache baadaye<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/49450</ref>.
Tangu kale wanaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[watakatifu]] [[wafiadini]].
|