Asilimia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
New page: '''Asilimia''' ni njia ya kutaja uhusiano kati ya viasi viwili. Alama yake ni '''<big>%</big>'''. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %. ...
 
No edit summary
Mstari 11:
Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia:
 
*Nusu = 50%
*robo = 25%
*robo tatu = 75%
*humusi = 20%
*humusi mbili= 40%
*theluthi = 33%
*ya kumi = 10%