Kasuku : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Masahihisho ya uainishaji |
dNo edit summary |
||
Mstari 24:
* [[Strigopidae]]
}}
'''Kasuku''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]]]] wa [[oda]] [[Psittaciformes]]. [[Spishi]] za [[jenasi]] nyingine zinaitwa '''kwao''' au [[cherero]]. Kasuku wengine ni wakubwa, wengine wadogo. Wengi wana rangi kali. Wana mkia mrefu na miguu yao ina vidole viwili vikabilivyo mbele na viwili vikabilivyo nyuma. Domo lao lina nguvu sana na mataya yamepindika kwa pande za kuelekea kama koleo. Kasuku wanatokea kanda zote za [[tropiki]] za [[dunia]]. Hula [[mbegu]], [[kokwa]], [[tunda|matunda]] na [[jicho la ua|macho ya maua]], pengine [[mdudu|wadudu]] na [[mnyama|wanyama]] wadogo pia. Spishi za “lories” na “lorikeets” hula [[mbochi]] na matunda mororo. Kasuku takriban wote hutaga mayai yao tunduni kwa [[mti]].
== Spishi za Afrika ==
|