Maria Elizabeti Hesselblad : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|right|Mt. Maria Elizabeti [[ujana|ujanani.]] '''Maria Elizabeti Hesselblad''' (Fåglavik, Uswidi, 4 Juni 1...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 10:44, 22 Aprili 2021
Maria Elizabeti Hesselblad (Fåglavik, Uswidi, 4 Juni 1870 – Roma, Italia, 24 Aprili 1957) alikuwa Mkristo wa Kilutheri aliyejiunga na Kanisa Katoliki huko Marekani, halafu akawa mwanzilishi mpya wa shirika la Mwokozi Mtakatifu (Wabrigita).
Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II tarehe 9 Aprili 2000, halafu mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 5 Juni 2016, halafu msimamizi mmojawapo wa Ulaya na Papa Yohane Paulo II mwaka 1999.