Mathias E. Mnyampala : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile app edit Android app edit
No edit summary
Mstari 1:
[[File:Mathias E. Mnyampala.jpg|thumb|Mathias E. Mnyampala (1917-1969) was a Tanzanian lawyer, political activist, essayist, writer, historian and famous poet in Kiswahili language.]][[Mathias E. Mnyampala]] alizaliwa [[18 Novemba]] [[1917]] katika kitongoji cha Muntundya Ihumwa katika [[Wilaya ya Chamwino]], mkoani [[Dodoma]]. Alifariki dunia mjini Dodoma tarehe [[8 Juni]] [[1969]]. Alikuwa mwanasheria, mzalendo wa Taifa la Tanzania na lugha yake [[Kiswahili]], mwandishi na mshairi maarufu.
 
Kufuatana na maoni ya Profesa Madumulla, Mathias E. Mnyampala sasa hivi nchini Tanzania ni ''Jabali Lililosahaulika''. Utafiti wa Vyuo Vikuu vya [[Tanzania]] na ng'ambo, hasa [[Ufaransa]], haukukaa kimya kuhusu kazi yake upande wa Ushairi wa Kiswahili na Historia ya Wagogo wa Tanganyika. Lakini bado matokeo yake yanahitaji kuenezwa.
Mstari 28:
[[Jamii:Tanzania]]
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1917]]
[[Jamii:Waliofariki 1969]]
[[Jamii:Waandishi wa Tanzania]]