Augustino Roscelli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|Mt. Augustino Roscelli alivyochorwa. '''Augustino Roscelli''' (Bargone, Casarza Ligure, 27 Julai [...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 08:42, 5 Mei 2021
Augustino Roscelli (Bargone, Casarza Ligure, 27 Julai 1818 – Genova, Liguria, 7 Mei 1902) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Italia Kaskazini.
Alianzisha shirika la kitawa la Masista wa Imakulata limsaidie kukabili matatizo ya jamii hasa upande wa watoto na wanawake[1].
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kwanza mwenye heri tarehe 7 Mei 1995, halafu mtakatifu tarehe 10 Juni 2001[2].
Tazama pia
Tanbihi
- ↑ --- Immacolatine ---. immacolatine.it. Iliwekwa mnamo 13 August 2015.
- ↑ Canonization of 5 blesseds
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
- SQPN - Saint Agostino Roscelli
- Saint of the Day - Saint Agostino Roscelli
- Artist Denys Savchenko
- (Kiitalia) Vatican Archives
- (Kiitalia) Institute of Sisters of the Immaculata
- Agostino Roscelli - The priest who saved boys from a life of crime and girls from prostitution
- Butler's Lives of the Saints - Saint Augustine Roscelli
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |