Malai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created by translating the page "Cream" |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:
[[Picha:
'''Malai''', pia '''krimu''' ([[ing.]] ''cream''), ni [[Mafuta (chakula)|mafuta]] yanayopatikana kiasili katika [[maziwa]] ya wanyama. Baada ya kukamua maziwa, malai hukusanyika kwenye uso wa maziwa kama utandu.
Utandu huo hutolewa na kukusanywa. Malai hutumiwa kutengeneza [[samli]], [[siagi]] na [[jibini]]. au pia katika upishi na kutengeneza vyakula mbalimbali kama [[aisikrimu]].
|