Biografia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tag: Reverted
d Masahihisho aliyefanya Kipala (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 41.75.223.52
Tag: Rollback
Mstari 1:
{{futa}}
 
Black ninjaah Kwan majina halisi anajulikana Kama shukrani Leonard Matonga,amezaliwa tarehe 7 mwezi 7 mwaka 1995 mkoani mbeya katika hospital ya Rufaa ya mbeya mjini, amelelewa na kukulia mtaa wa ilolo (mwanjelwa) Maisha ya mama ake bi.Sophia Adamson mwambuta na mumewe Leonard matonga hayakuwa maisha rafiki kwa watoto wao Saba (7)Black ninjaah akiwa Kama kivunga mimba, Mama alikuwa ni mtu wa pombe (Gongo) Mumewe nae ndiye alikuwa chanzo cha yote kwakuwa alikuwa sio Baba mwenye kujali majukumu yake Kama kiongozi mkuu wa familia, alikuwa ni mtu wa kutafuta na kujijali yeye mwenyewe watoto wakaanza kutawanyika pasi na elimu yoyote,ndoto ya Black ninjaah haikuwa katika sanaa ya muziki ilikuwa katika taaluma ya ufundi wa magari pamoja na gari moshi,hatua ya yake ya kwanza katika harakati hizi za muziki wa rap zimeanzia pale alipo anza kujichanganya na wadau wa muziki Kama @Kibabu wapooten Huyu ndiye mwanzo wa Ubamizaji na udonyoaji wa Black ninjaah pamoja na Bwana Duke Tachez hao ndio watu walio fanikisha Ublack ninjaah, kuanzia mwaka 2017 akatengeneza Tracks na wasani kibao handakini, utofauti wake wa upigaji beat umesaidia kumfanya akubalike na jamii ya Hip Hop, kazi zilizo Fanya vizuri nipamoja na Futi 6 ya P mawenge ,Mansu_Li -Hakuna njia hapa, Nikki mbishi -999,Nikki mbishi -zengwe, Album ya K la mapacha The OG, Ep ya Rabi James, pamoja na single tracks, Papa Frege -Dkt Beti, Bad ngundo -(Safia 1,2,3),Naumwa Hip Hop, Utanambia nini nk, Fivara (Last man standing, Ukimya, Chuki, Barua, Uvamizi nk,Na wasanii wengine kibao, kafanikisha kuzalisha vipaji vipya kupitia harakati zake
K