Senati (Marekani) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Capitol-Senate.JPG|thumb|300px|[[Jengo]] la Capitol [[Mji|mjini]] [[Washington DC]] ni makao ya senati.]]
'''Senati ya
Kila [[jimbo]] kwenye [[shirikisho]] la Muungano
Idadi ya majimbo ya Marekani ni 50 hivyo kuna maseneta 100. Uchaguzi si wakati pamoja kwa wote lakini theluthi moja inachaguliwa kila baada ya miaka miwili. ▼
▲[[Idadi]] ya majimbo ya Marekani ni 50 hivyo kuna maseneta 100. [[Uchaguzi]] si wakati
Pamoja na sehemu nyingine ya bunge yaani Nyumba ya Wawakilishi Senati inamua juu ya sheria zinzopaswa kupita pande zote mbili.▼
▲Pamoja na sehemu nyingine ya bunge, yaani Nyumba ya Wawakilishi, Senati
Senati ina jukumu la kuamua juu ya [[vita]] na [[amani]]. Rais anapaswa kupata kibali cha senati kabla ya kuita maafisa muhimu kama ma[[waziri]] na ma[[hakimu]] wa mahakama kuu ya kitaifa.▼
▲Senati ina [[jukumu]] la kuamua juu ya [[vita]] na [[amani]]. [[Rais]] wa nchi anapaswa kupata kibali cha senati kabla ya kuita [[afisa|maafisa]] muhimu kama ma[[waziri]] na ma[[hakimu]] wa [[mahakama kuu]] ya kitaifa.
Seneta anapaswa kuwa na umri wa angalau miaka 30 na kuwa raia wa Marekani tangu miaka 9 au zaidi.▼
▲Seneta anapaswa kuwa na [[umri]] wa angalau miaka 30 na kuwa [[raia]] wa Marekani tangu miaka 9 au zaidi.
{{mbegu-siasa}}
[[Jamii:Siasa ya Marekani]]
[[Jamii:Senati (Marekani)| ]]
|