Waarabu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
'''Waarabu''' (Kiarabu عَرَبِ, <small>matamshi ya Kiarabu:</small> [ʕarabi]) ni watu ambao lugha yao ya asili ni [[Kiarabu]] na kujitambua vile.
 
==Asili ya Waarabu na uenezaji==
Kiasili walikuwa watu wa [[Bara Arabu]] na maeneo jirani katika [[Syria]] na [[Iraki]]<ref>{{Cite book|url=https://www.upenn.edu/pennpress/book/15372.html|title=Nationalism, Language, and Muslim Exceptionalism|last=Mabry|first=Tristan James|date=2015|publisher=University of Pennsylvania|isbn=9780812246919|pages=53-85|access-date=23 May 2021}}</ref> lakini tangu kuja kwa [[Uislamu]] walienea nje ya eneo asilia hasa katika [[Afrika ya Kaskazini]] na nchi za [[Mashariki ya Kati]] ambako walijichangaya na wenyeji wambao wengi wao wamepokea lugha ya Karabu tangu karne nyingi na kujitazama kama Waarabu pia.
 
Mstari 9:
Dini ya [[Uislamu]] ulianzia kati ya Waarabu na hivyo Kiarabu ndio lugha ya Qurani na maandiko ya Kiislamu, na Waarabu wengi ni [[Mwislamu|Waislamu]] . Walakini kati ya Waialmu wote Waarabu ni kama asilimia 20% tu. <ref>{{Cite web|url=https://berkleycenter.georgetown.edu/essays/demographics-of-islam|title=Demographics of Islam|accessdate=28 September 2020|archivedate=9 October 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201009120840/https://berkleycenter.georgetown.edu/essays/demographics-of-islam}}</ref>
 
== Historia ==
Kihistoria Waarabu walitajwa mara ya kwanza mara ya kwanza wakati wa [[karne ya 9 KK]] kama makabila kwenye mashariki na kusini mwa [[Syria]] na kaskazini mwa Bara Arabu. <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=-cRrGQ8bIAkC|title=The Ituraeans and the Roman Near East: Reassessing the Sources|last=Myers|first=E. A.|date=11 February 2010|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-1-139-48481-7|page=18}}</ref> Waarabu wanaonekana walikuwa chini ya wafalme wa [[Ashuru|Milki ya Ashuru]] (911-612 KK), na baadaye chini ya [[Babeli|Milki ya Babeli]] iliyofuata (626-539 KK), [[Uajemi ya Kale#Waakhameni|Waakhemi]] (539-332 KK), Seleukidi na Waparthi. <ref></ref> Katika karne ya 3 KK Waarabu wa Nabatea waliunda ufalme wao karibu na [[Petra]] katika Yordani ya leo. Makabila ya Kiarabu kama Waghassanidi na Walakhmidi huanza kuonekana katika jangwa la Syria Kusini kuanzia katikati ya [[Karne ya 3 KK|karne ya 3 BK]] wakiunda milki zao zilizoshirikiana na [[Dola la Roma]] na Wasasani. Hadi karne ya 7 sehemu ya Waarabu hasa wa magharibi mwa eneo lao walikuwa Wakristo, wengine pia Wayahudi.
 
Line 15 ⟶ 16:
Kwa karne nyingi Waarabu hao walitawaliwa na [[Milki ya Osmani]]<ref>"[http://www.nzhistory.net.nz/war/ottoman-empire/arab-revolt The Arab Revolt, 1916-18 | The Ottoman Empire]." ''New Zealand History''. [[Ministry for Culture and Heritage]]. 30 July 2014.</ref> . Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] (1914-1918) milki hiyo ilivunjwa na kugawiwa kwa maeneo ya nchi za Kiarabu za leo<ref>{{Cite book|title=Frontiers of the state in the late Ottoman Empire : Transjordan, 1850–1921|last=Rogan, Eugene L.|date=2004|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-89223-0|oclc=826413749}}</ref> ambazo kwa muda mfupi zilitawaliwa bado kama koloni au [[nchi lindwa]] chini ya Uingereza na Ufaransa.
 
Mwaka 1945 nchi hizo ziliunda [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]].<ref name="History">"[http://www.history.com/this-day-in-history/arab-league-formed Arab League formed | This Day in History — 3/22/1945]." ''[[History.com|HISTORY]]''. US: [[A&E Television Networks]]. 2010. Retrieved on 28 April 2014.</ref>
 
 
== Nchi za Waarabu ==
Leo hii Waarabu kimsingi hukalia nchi 22 wanachama wa [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]]. Nchi hizo zinaenea kwa kilomita za mraba milioni 13 kutoka [[Atlantiki|bahari ya Atlantiki]] upande wa magharibi hadi [[Bahari ya Kiarabu]] katika mashariki na kutoka [[Bahari ya Mediteranea|Bahari ya Mediterranean]] katika kaskazini hadi [[Pembe ya Afrika]] na [[Bahari ya Hindi]] katika kusini. Watu wasio Waarabu wakitumia lugha zao za pekee huishi pia katika nchi hizo, wakati mwingine wakiwa wengi. Hawa ni pamoja na [[Wasomali]], [[Wakurdi]], [[Waberberi]], Waafar, [[Nubia|Wanubi]] na wengineo .
 
== Dini ==
 
Kwa upande wa dini, Waarabu huwa na tofauti kati yao.
 
Line 29 ⟶ 30:
Wakristo wa Kiarabu kwa ujumla hufuata moja ya [[Ukristo wa Mashariki|Makanisa ya Kikristo ya Mashariki]], kama yale yaliyo ndani ya [[Waorthodoksi wa Mashariki|makanisa ya Orthodox ya]] [[Makanisa Katoliki ya Mashariki|Mashariki, makanisa Katoliki ya Mashariki]], au makanisa ya Kiprotestanti ya Mashariki. <ref name="PharesIntro">{{Cite web|first=Walid|author=Phares|authorlink=Walid Phares|url=https://www.arabicbible.com/for-christians/christians/1396-arab-christians-introduction.html|title=Arab Christians: An Introduction|publisher=Arabic Bible Outreach Ministry|date=2001}}</ref> Kuna pia idadi ndogo ya Wayahudi wa Kiarabu ambao bado wanaishi katika nchi za Kiarabu lakini wengi wao waliondoka kwao wakihamia Israeli au nchi nyingine za Ulaya na Amerika. Sehemu ya Wakristo katika nchi za Kiarabu hawajitambui kuwa Waarabu kwa mfano [[Wakopti]] au [[Waashuri]].
 
Marejeo
 
{{Marejeo}}
[[Jamii:Waarabu]]
[[Jamii:Makala zisowekewa maelezo ya vyanzo]]