Waarabu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4:
{{Legend|#00c152|+ 100,000}}]]
'''Waarabu''' (kwa [[Kiarabu]] عَرَبِ, <small>matamshi ya Kiarabu:</small> [ʕarabi]) ni [[watu]] ambao [[lugha mama]] yao
==Asili ya Waarabu na uenezaji==
Kiasili walikuwa watu wa [[Bara Arabu]] na maeneo jirani katika [[Syria]] na [[Iraki]]<ref>{{Cite book|url=https://www.upenn.edu/pennpress/book/15372.html|title=Nationalism, Language, and Muslim Exceptionalism|last=Mabry|first=Tristan James|date=2015|publisher=University of Pennsylvania|isbn=9780812246919|pages=53-85|access-date=23 May 2021}}</ref>
Kutokana na [[uhamiaji]] wako pia katika [[Afrika ya Mashariki]], [[Visiwa]] vya [[Komoro]] na visiwa vingine vya [[Bahari ya Hindi|Bahari Hindi]], [[Amerika]], [[Ulaya ya Magharibi|Ulaya Magharibi]], [[Indonesia]], [[Uhindi]] na [[Uajemi|Iran]]
[[Dini]] ya [[Uislamu]]
== Historia ==
Kihistoria Waarabu walitajwa
Katika [[karne ya 3 KK]] Waarabu wa [[Nabatea]] waliunda [[ufalme]] wao karibu na [[Petra]] katika [[Yordani]] ya leo. Makabila ya Kiarabu kama Waghassanidi na Walakhmidi huanza kuonekana katika [[jangwa]] la Syria Kusini kuanzia katikati ya [[Karne ya 3|karne ya 3 BK]] wakiunda milki zao zilizoshirikiana na [[Dola la Roma]] na [[Wasasani]]. Hadi [[karne ya 7]] sehemu ya Waarabu hasa wa magharibi mwa eneo lao walikuwa [[Wakristo]], wengine pia [[Wayahudi]].
Baada ya Muhamad, [[Khalifa#Makhalifa wanne wa kwanza|makhalifa wa kwanza]] (632-661 BK) waliunganisha Waarabu wote chini ya utawala wao. wakaendelea kuvamia milki jirani za Dola la Roma na Uajemi ya Wasasani. Kote walianza kutumia [[Kiarabu|lugha ya Kiarabu]] kama lugha ya utawala. Makabila mengi kutoka Bara Arabu yalianza kuhamia katika nchi zilizovamiwa katika hiyo milki kubwa ya Kiislamu iliyoenea kutoka [[Moroko]] na [[Hispania]] upande wa maghararibi hadi mipaka ya [[China]] na [[Uhindi]] upande wa mashariki.<ref>{{Cite book|title=A history of the Arab peoples|last=Ruthven|first=Albert Hourani; with a new afterword by Malise|date=2010|publisher=Belknap Press of Harvard University Press|isbn=978-0-674-05819-4|edition=1st Harvard Press pbk.|location=Cambridge, Mass.}}</ref> Katika karne zilofuata, wakazi wengi wa maeneo hayo walianza kuwa Waislamu na kutumia Kiarabu kama lugha ya kidini na ya kielimu; hasa katika sehemu kubwa ya Afrika Kaskazini pamoja na Misri na katika nchi za Asia Magharibi (hasa nchi za leo Syria, Lebanoni, Iraki) wenyeji wengi walianza kutumia Kiarabu kama lugha yao na hivyo kuitwa Waarabu.▼
▲Baada ya [[Muhamad]], [[Khalifa#Makhalifa wanne wa kwanza|makhalifa wa kwanza]]
Kwa karne nyingi Waarabu hao walitawaliwa na [[Milki ya Osmani]]<ref>"[http://www.nzhistory.net.nz/war/ottoman-empire/arab-revolt The Arab Revolt, 1916-18 | The Ottoman Empire]." ''New Zealand History''. [[Ministry for Culture and Heritage]]. 30 July 2014.</ref> . Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] (1914-1918) milki hiyo ilivunjwa na kugawiwa kwa maeneo ya nchi za Kiarabu za leo<ref>{{Cite book|title=Frontiers of the state in the late Ottoman Empire : Transjordan, 1850–1921|last=Rogan, Eugene L.|date=2004|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-89223-0|oclc=826413749}}</ref> ambazo kwa muda mfupi zilitawaliwa bado kama koloni au [[nchi lindwa]] chini ya Uingereza na Ufaransa.▼
▲Kwa karne nyingi Waarabu hao walitawaliwa na [[Milki ya Osmani]]<ref>"[http://www.nzhistory.net.nz/war/ottoman-empire/arab-revolt The Arab Revolt, 1916-18 | The Ottoman Empire]." ''New Zealand History''. [[Ministry for Culture and Heritage]]. 30 July 2014.</ref>
Mwaka 1945 nchi hizo ziliunda [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]].<ref name="History">"[http://www.history.com/this-day-in-history/arab-league-formed Arab League formed | This Day in History — 3/22/1945]." ''[[History.com|HISTORY]]''. US: [[A&E Television Networks]]. 2010. Retrieved on 28 April 2014.</ref>▼
▲[[Mwaka]] [[1945]] nchi hizo ziliunda [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]].<ref name="History">"[http://www.history.com/this-day-in-history/arab-league-formed Arab League formed | This Day in History — 3/22/1945]." ''[[History.com|HISTORY]]''. US: [[A&E Television Networks]]. 2010. Retrieved on 28 April 2014.</ref>
[[Picha:Arab League member states (orthographic projection).svg|300px|thumb|Wanachama wa Juuiya ya Nchi za Kiarabu]]▼
▲[[Picha:Arab League member states (orthographic projection).svg|300px|thumb|Wanachama wa
== Nchi za Waarabu ==
|