Bidii : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Bidii''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]) ni ile hali ya kuonyesha [[juhudi]] za dhati katika kufanya jambo fulani, kwa mfano [[Darasa|darasani]]. Bidii ya [[mtu]] inaweza ikamfanya afikie malengo makubwa anayotaka na kujiona yeye ni wa juu. Pamoja na yote hayo sisi [[binadamu]] huwa tunafanya bidii ili tufikie malengo yetu tunayoyataka.
 
Kwa kawaida tunaweza kuchochea bidii yetu na ya wengine ama kwa [[hamasa]] au [[motisha]] fulani ama kwa kitisho au [[adhabu]] fulani.