Amanjena : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Amanjena''' maana yake ni '''paradiso yenye amani''' ni hoteli ya kifahari na ya Kupumzikia, iliyoko Palmeraie [[kitongoji]] cha [[kusini mashariki]] mwa [[Marrakesh]], [[Moroko]]. Ilijengwa mnamo mwaka [[2000]] ni moja ya [[hoteli]] za kipekee na ya kwanza katika bara la [[Afrika]]. Ina kozi yenye shimo 21, maktaba iliyojaa vizuri na sehemu ya kuogelea nje katikati ya vichaka vya hibiscus. Mnamo mwezi [[Mei]] mwaka [[2015]], [[David Beckham]] alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ya 40 katika hoteli hiyo.
 
== Usuli ==