Amanjena : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Amanjena''' maana yake ni '''paradiso yenye amani'''. Ni hoteli ya kifahari na ya kupumzikia, inayopatikana Palmeraie kitongoji cha kusini mashariki mwa Marrakesh,nchini [[Moroko]]. Ilijengwa mnamo mwaka [[2000]], na ni moja ya hoteli za kipekee na ya kwanza katika bara la Afrika. Ina mkondo wenye mashimo 21, maktaba iliyojaa vizuri na sehemu ya kuogelea ya nje, katikati ya vichaka vya hibiscus. Mnamo mwezi [[Mei]] mwaka [[2015]], [[David Beckham]] alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ya kutimiza miaka 40 katika hoteli hii.
== Usuli ==
|