Vita : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[Picha:Vita.JPG|thumb|300px|Vita: Mfalme [[Ramses II]] mnamo 1274 KK, Mfalme [[Gustav Adolf]] mnamo 1623, Faru ya Marekani M1 2005]]
'''Vita''' ni mapambano baina ya nchi, [[mataifa]] au
[[File:Dapperheidgrotepier.jpg|thumb|Mchoro wa [[Pier Gerlofs Donia]] na [[Wijerd Jelckama]] wakipigana kwa ajili ya uhuru wa watu.]]
Katika vita kuna pande mbili au zaidi. Husababisha mateso, vifo na kuharibika kwa [[mali]] ya watu pamoja na [[mazingira]] [[Uasilia|asilia]].
[[File:Palestinian militant with rifle.png|thumb|250px|Mwanamgambo wa Kipalestina akiwa ameshika silaha aina ya [[M16 rifle]], mwaka 2009.]]
Asili ya vita ilikuwa mapambano kwa silaha kati ya makabila au vijiji mbalimbali. Baada ya kutokea kwa [[madola]] ilikuwa zaidi serikali au watawala wa madola walioamua juu ya vita. ▼
[[Picha:Exercise_Desert_Rock_I_(Buster-Jangle_Dog)_001.jpg|thumb|300px|Mlipuko wa silaha ya nyuklia mwaka 1951.]]▼
== Aina za vita ==
Kuna aina nyingi za vita:
Line 12 ⟶ 16:
* vita vya watu wa sehemu moja ya nchi dhidi ya serikali ya nchi nzima
* vita vya kidini kati ya waumini wa dini au madhehebu tofauti
▲Asili ya vita ilikuwa mapambano kwa silaha kati ya makabila au vijiji mbalimbali. Baada ya kutokea kwa [[madola]] ilikuwa zaidi serikali au watawala wa madola walioamua juu ya vita.
▲[[Picha:Exercise_Desert_Rock_I_(Buster-Jangle_Dog)_001.jpg|thumb|300px|Mlipuko wa silaha ya nyuklia mwaka 1951.]]
== Watekelezaji wa vita ==
Watekelezaji wa vita huitwa [[askari]] au [[wanajeshi]]. [[Historia]] imejua vipindi
Wanajeshi rasmi huwa chini ya [[kanuni za vita]] lakini sehemu kubwa na vita inashirikisha watu
== Silaha ==
Wanadamu wametumia [[akili]] nyingi kuboresha vifaa vya vita, yaani [[silaha]], na mbinu za vita. [[Maendeleo]] ya silaha yamesababisha kupungua kwa [[idadi]] ya askari wanaopigana moja kwa moja lakini uharibifu wa silaha umeongezeka.
Silaha za kale zilitegemea [[nguvu]] ya [[mkono]] wa mtu zikifikia [[umbali]] mdogo. Silaha zimebadilika kulenga mahali ambapo ni mbali
== Jitihada za
Kutokana na uharibifu mkubwa unaosababishwa na vita palikuwa tena na tena na makubaliano juu ya kanuni za vita. Kanuni
Katika [[karne ya 20]] mataifa mengi yalipatana mikataba ya kimataifa juu ya kanuni za vita. Chanzo
Baada ya [[vita kuu ya kwanza ya dunia]] nchi nyingi ziliunda [[Shirikisho la Mataifa]] kwa shabaha ya kuzuia vita lakini hii ilishindikana baada ya nchi kubwa kama [[Urusi]], [[Ujerumani]] na [[Italia]] kupuuza maazimio yake. Kuundwa kwa [[Umoja wa Mataifa]] kulikuwa jaribio jipya la kuwa na [[taasisi]] ya kimataifa yenye uwezo wa kuzuia vita.
[[Picha:Wereschtschagin2_Vita.jpg|thumb|300px|[[Vasili Vereshchagin]]: Ufaulu wa Vita (1871)]]
== Misemo juu ya vita ==
Line 38 ⟶ 39:
* "Vita ni aina ya siasa kwa kutumia mbinu tofauti." - [[Carl von Clausewitz]]
* "Ukitaka amani andaa vita." - [[Vegetius]]
* "Si vita, bali amani ni baba wa vitu vyote." - [[Willy Brandt]]
* "Vita abadan!" - [[Yohane Paulo II]]
* "Vita ilipokwisha askari alirudi nyumbani. Lakini alipokosa chakula akamwona mwenye chakula. Akamwua. "Lakini huruhusiwi kumwua mtu!" alisema hakimu. "Kwa nini?" aliuliza askari." - [[Wolfgang Borchert]]
[[Jamii:Vita|!]]
[[Jamii:Historia]]
|