Aïcha Lemsine : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Undid edits by Joshua melkiory shirima (talk) to last version by Yuzo63: unexplained content removal Tags: Undo SWViewer [1.4] |
No edit summary |
||
Mstari 2:
''' Lemsine''', Jina la uandishi '''Aïcha Laidi''' (alizaliwa mnamo mwaka 1942), ni mwandishi wa Algeria anayeandika kwa lugha ya Kifaransa.
Alizaliwa karibu na Tébessa.<ref name=alfaro/> Mwanamama huyu alikuwa mtetezi wa haki za wanawake.
== Wasifu ==
Aïcha ni mwandishi wa riwaya na insha, amewaandikia pia waandishi wa habari wa Algeria na nje ya nchi<ref>[https://data.bnf.fr/fr/11912412/aicha_lemsine/ Aïcha Lemsine]</ref> Mwanamama huyu ni mzungumzaji wa kimataifa, aliyebobea katika historia ya Uislamu, Uislamu wa kisiasa na haki za wanawake Waislamu. alialikwa mara kwa mara kushiriki katika semina na makongamano ulimwenguni kote.<ref>[https://www.babelio.com/auteur/Aicha-Lemsine/126885 Nationalité : AlgérieNé(e) à : Lemencha , 1942Biographie :]</ref>Mumewe, Ali Laïdi, alikuwa balozi wa Algeria nchini Uhispania (kuanzia mwaka 1965 hadi mwaka 1970
Lemsine
Mnamo mwaka 1995, alipewa Hellman-Hammett Grant na shirika la haki za binadamu 'Human Rights Watch' kuunga mkono kazi yake
Lemsine aliolewa na mwanadiplomasia Ali Laidi.<ref name=alfaro/>
Mstari 18:
Katika riwaya ya La Chrysalide, Aïcha Lemsine anaelezea mageuzi ya jamii na wanawake wa Algeria, kupitia maisha ya vizazi kadhaa vya familia ya Algeria. Kitabu hiki, kilichochapishwa kwa Kifaransa, wakati huo kilikuwa riwaya ya kwanza ya mwanamke wa Algeria, miaka kumi na minne baada ya uhuru wa kitaifa wa Algeria, kufichua utata kati ya hali halisi ya wanawake katika nchi yake na Katiba inayotangaza " | egalitarian ujamaa "ambapo" uhuru wa kimsingi na haki za binadamu na raia zinahakikishiwa. Ubaguzi wowote unaotegemea ubaguzi wa jinsia, rangi au taaluma ni marufuku (Art.39).<ref>[https://www.desfemmes.fr/litterature/la-chrysalide/ Aïcha LemsineLa ChrysalideChroniques algériennes]</ref>
Kitabu kilipigwa marufuku. Wizara ya "mambo
==
* Graebner, Seth. Encyclopedia of African Literature. New York and London: Routledge, 2003.
== Kazi alizowahi kuchaguliwa ==
* ''La chrysalide: Chroniques algeriennes'',
* ''Ciel de porphyre'',
* ''Ordalie des voix'',
* ''Au Cœur du Hezbollah'',
<ref name=naylor/>
Mstari 33:
{{reflist}}
==
* {{cite web |url=https://www.wrmea.org/1995-june/muslim-scholars-face-down-fanaticism.html |title=Muslim Scholars Face Down Fanaticism |work=Washington Report on Middle East Affairs |date=June 1995 |last=Lemsine |first=Aicha}}
==Marejeo==
{{Reflist}}
|