Béjaïa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
kuswahilisha
d #WPWP #WPWPARK
Mstari 1:
[[Picha:Béjaïa 02.jpg|thumb|Béjaïa]]
'''Béjaïa''' zamani ilijulikana kama '''Bougie''' na '''Bugia''' ni [[Bandari|mji wa bandari]] kwenye Ghuba ya Béjaïa katika nchi ya [[Algeria]]; ni mji mkuu wa Mkoa wa [[Béjaïa]], Kabylia. Béjaïa ni jiji kubwa zaidi inayotumia lugha ya [[Tamazight|Kabyle]] .