Malai : Tofauti kati ya masahihisho

4 bytes removed ,  miaka 2 iliyopita
no edit summary
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 3:
'''Malai''' (pia '''krimu''' kutoka [[Kiingereza]]: ''cream''), ni [[Mafuta (chakula)|mafuta]] yanayopatikana kiasili katika [[maziwa]] ya [[wanyama]]. Baada ya kukamua maziwa, malai hukusanyika kwenye uso wa maziwa kama utandu. Utandu huo hutolewa na kukusanywa.
 
Malai hutumiwa kutengeneza [[samli]], [[siagi]] na [[jibini]]. Pia katika [[upishi]] na kutengeneza [[vyakula]] mbalimbali kama [[aisikrimu]].
 
 
347

edits