Tiba : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
TIBA YA MADONDA YA TUMBO.
Tags: Reverted Mobile edit Mobile web edit Advanced mobile edit
d Masahihisho aliyefanya Stivin mwanisawa (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Olimasy
Tag: Rollback
Mstari 1:
[[Picha:Treatment of VD case. Extra charges, other than the regular medical fee deducted from pay, are made for treatment of... - NARA - 540839.jpg|thumb|Binadamu akipewa tiba na [[Daktari|madaktari]]]]
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unao wasumbua watu wengi sana duniani ugonjwa huu malanyingi unaambatana na chembe moyo yani tumbolinapokusumbuwa huuma kwa kuambatana na chembe moyo namgonjwa huteseka sana kwasababu huu ugonjwa unampangia mgonjwa chakula ambacho awe anakula akila chakula tofauti mambo yanakuwa nimengine,
'''Tiba''' (au: '''Uganga''') ni [[elimu]] kuhusu [[magonjwa]] ya [[Binadamu]] mwilini na rohoni, jinsi ya kuzuia magonjwa na kuhusu njia ya kurudisha [[uzima]].
Chanzo cha ugonjwa wa madonda ya tumbo ni:
Elimu hii inafuata mbinu za ki[[sayansi]], tofauti na [[uganga wa kienyeji]] au wa [[Mila|kimila]].
1 Mawazo,mawazo ni chanzo kikubwa sana mtu akiwa na mawazo kupita kiasi yupo kwenye hatali yakupata madonda ya tumbo
 
2 Kongosho, kongosho ni tezi inayo jihusisha na maswala ya mmeng'enyo wa chakula kongosho hutoa baazi ya vimeng'enya kama Acd ili kusaidia baadiya vimenge'nya kumeng'enya chakula kwa urahisi laki inapo shindwa kupima kiasi cha acd na kutoa acd nyingi ujuwe unaandamwa na madonda ya tumbo ndiyomaana unashauliwa kunywa maji mengi, lakini kutokana na utafiti wa hapa na pale zimepatikana dawa za kutibu madonda ya tumbo mojawapo ni.. Asali, asali ni dawa nzuri sana kwa madonda ya tumbo na siyo kutuliza tu bali inatibu ukizingatia matumizi.
Watu wanaoshughulikia magonjwa ya watu huitwa ma[[tabibu]] au waganga. Mara nyingi watu huwaita "[[daktari]]", lakini neno hili lamaanisha zaidi [[cheo]] cha kufaulu [[chuo kikuu]] kwenye ngazi ya juu; mara nyingi waganga husoma hadi cheo cha daktari wa tiba.
 
Watu wanaofanya kazi pamoja na tabibu ni [[muuguzi]] ([[nesi]]) na wasaidizi wengine.
 
Tiba imeendelea kiasi cha kuwa na masomo yake madogo yanayoangalia hasa magonjwa ya sehemu fulani ya mwili tu. Kila somo dogo lina [[wataalamu]] wake. kwa mfano tiba ya [[moyo]], ya [[ngozi]], ya [[viungo vya ndani]], ya [[upasuaji]], ya [[magonjwa ya watoto]] na kadhalika.
 
{{mbegu-tiba}}
 
[[Category:Tiba|!]]