Hifadhi ya Taifa ya Aberdare : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+pict
d #AWCTZ
Mstari 2:
'''Hifadhi ya Taifa ya Aberdare''' ina [[latitudo]] ya [[mita]] 1829 hadi 4001 juu ya [[usawa wa bahari]] na iko katika ardhi kati ya [[kusini]]-[[magharibi]] kwa [[Mlima Kenya]] ([[Kaunti ya Nyandarua]] na [[Kaunti ya Nyeri]]).
 
[[File:Aberdare Park entrance.jpg|thumb|right| Sehemu ya kuingia katika Hifadhi ya taifa ya Aberdare]]
Ilianzishwa rasmi mnamo Mei [[1950]] kama hifadhi ya [[misitu]] ya nchi. Hifadhi ina [[hewa]] safi iliyo tulivu na yenye [[mazingira]] murua na [[mvua]] kubwa inayonyesha mwaka nenda mwaka rudi.
{{National Parks of Kenya}}