Ad Turres (Byzacena) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
#AWCTZ |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 16:49, 29 Julai 2021
Turres huko Byzacena ilikuwa enzi ya Waroma na Vandal koloni (jiji) huko Afrika Kaskazini. Eneo halisi la mji huo halijulikani lakini labda ni magofu huko Tamarza au magofu ya karibu ya Msilica.[1] ipo karibu na mpaka wa Algeria ambapo ni takribani kilomita 70 kutoka mji wa Tozeur na imezungukwa na nchi yenye mwinuko na kame.
Marejeo
- ↑ Titular Episcopal See of Turres in Byzacena, GCatholic.org.
Makala hii kuhusu maeneo ya Algeria bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ad Turres (Byzacena) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |