Kucha (Hyliota) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Nyongeza picha
Bingwa wa spishi
 
Mstari 14:
| jenasi = ''[[Hyliota]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[William Swainson|Swainson]], 1837
| subdivision = '''Spishi 4:'''
| spishi = ''[[Hyliota australis|H. australis]]''<br>
* ''[[Hyliota flavigasteraustralis|H. flavigasteraustralis]]'' <small>[[George Ernest Shelley|Shelley]], 1882<br/small>
* ''[[Hyliota usambaraflavigaster|H. usambaraflavigaster]]'' <small>[[William John Swainson|Swainson]], 1837<br/small>
* ''[[Hyliota violaceausambara|H. violaceausambara]]'' <small>[[William Lutley Sclater|W.L.Sclater]], 1932</small>
* ''[[Hyliota violacea|H. violacea]]'' <small>[[Jules Verreaux|J.Verreaux]] & [[Edouard Verreaux|E.Verreaux]], 1851</small>
}}
'''Kucha''' wa jenasi ''[[Hyliota]]'' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] wadogo ambao zamani waliainishwa katika [[Sylviidae]], [[familia (biolojia)|familia]] ya [[kucha (Sylviidae)|kucha]] wengine. Sasa wataalamu wanakubaliana kwamba ndege hawa hawana mnasaba na Sylviidae. Labda wana mnasaba na familia [[Promeropidae]] ([[ndegesukari]] wa [[Afrika]] Kusini). Hadhi yao haijaamua bado lakini wapewa familia yao kwa sasa: [[Hyliotidae]]. Wanafanana na [[tatata]]. Kucha hawa wana rangi ya nyeusi au zambarau mgongoni na nyeupe, machungwa au njano chini. Hula [[mdudu|wadudu]] na pengine [[beri]] na [[mbegu]]. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe ndani ya uoto mzito. Jike huyataga [[yai|mayai]] 2-5.