Ahera : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Tag: Reverted
Mstari 1:
[[File:GuideToTheAfterlife-CustodianForGoddessAmun-AltesMuseum-Berlin.png|400px|thumb|[[Mchoro]] wa [[Misri ya Kale]] unaoonyesha [[safari]] ya kwenda ahera.]]
[[Image:Mormon plan of Salvation diagram (Swahili).jpg|thumb|Mpango wa [[Wokovu]] kadiri ya Umormoni<ref>[https://www.churchofjesuschrist.org/study/manual/teachings-joseph-smith/chapter-17?lang=eng The Great Plan of Salvation in ''Teachings of Presidents of the Church: Joseph Smith'']</ref>.]]
'''Ahera''' (pia: '''Akhera''', kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]; kwa [[Kiingereza]] ''afterlife'', yaani ''life after death'' au ''hereafter'') ni neno linalotegemea [[imani]] ya kwamba baada ya [[mtu]] [[Kifo|kufariki dunia]] anaendelea kuishi kwa namna nyingine, si kwamba anakoma kabisa.