Tiba : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Treatment of VD case. Extra charges, other than the regular medical fee deducted from pay, are made for treatment of... - NARA - 540839.jpg|thumb|Binadamu akipewa tiba na [[Daktari|madaktari]]]]
'''Tiba''' (au: '''Uganga''') ni [[elimu]] kuhusu [[magonjwa]] ya [[Binadamubinadamu]] [[Mwili|mwilini]] na [[Roho|rohoni]], jinsi ya kuzuia magonjwa na kuhusukurudisha njia[[uzima]]. [[Matibabu]] ni muhimu kwa [[afya]] ya kurudishabinadamu na yanahitajika sana ili kumpa [[uzimamaisha]]. mazuri.
Elimu hii inafuata mbinu za ki[[sayansi]], tofauti na [[uganga wa kienyeji]] au wa [[Mila|kimila]].
 
Tiba imeendelea kiasi cha kuwa na [[Tawi|matawi]] yanayoangalia hasa:
Watu wanaoshughulikia magonjwa ya watu huitwa ma[[tabibu]] au waganga. Mara nyingi watu huwaita "[[daktari]]", lakini neno hili lamaanisha zaidi [[cheo]] cha kufaulu [[chuo kikuu]] kwenye ngazi ya juu; mara nyingi waganga husoma hadi cheo cha daktari wa tiba.
* magonjwa ya sehemu fulani tu ya mwili, kwa mfano tiba ya [[moyo]], ya [[ngozi]], ya [[viungo vya ndani]], au
* aina ya tiba, kwa mfano [[upasuaji]], au
* aina ya watu, kwa mfano [[magonjwa ya watoto]] na kadhalika.
 
Kila somo dogo lina [[wataalamu]] wake.
Watu wanaofanya kazi pamoja na tabibu ni [[muuguzi]] ([[nesi]]) na wasaidizi wengine.
 
Watu wanaoshughulikia magonjwa ya watu huitwa ma[[tabibu]] au waganga. Mara nyingi watu huwaita "[[daktari]]", lakini [[neno]] hili lamaanisha zaidi [[cheo]] cha kufaulu [[chuo kikuu]] kwenye ngazi ya juu; mara nyingi waganga husoma hadi cheo cha daktari wa tiba.
Tiba imeendelea kiasi cha kuwa na masomo yake madogo yanayoangalia hasa magonjwa ya sehemu fulani ya mwili tu. Kila somo dogo lina [[wataalamu]] wake. kwa mfano tiba ya [[moyo]], ya [[ngozi]], ya [[viungo vya ndani]], ya [[upasuaji]], ya [[magonjwa ya watoto]] na kadhalika.
 
Watu wanaofanya [[kazi]] pamoja na tabibu ni [[muuguzi]] ([[nesi]]) na wasaidizi wengine.
{{mbegu-tiba}}
Matibabu ni muhimu katika afya ya binadamu na yanahitaji sana ili kumpa mtu afya njema ya maisha.
 
Elimu hiihiyo inafuatainayofuata mbinu za ki[[sayansi]], ni tofauti na [[uganga wa kienyeji]] au wa [[Mila|kimila]].
{{mbegu-tiba}}
[[Category:Tiba|!]]