Wasafwa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 85:
Ifahamike kuwa Mbeya haswa kulikuwa na makabila au jamii nne tu, nazo ni: Wasafwa, Wanyakyusa, Wasangu na Wanyamwanga. Wajiitao Walambia na Wandali ni matokeo ya Mnyakyusa, Wamalila na Wanyiha ni kutoka Usafwa, Wabungu wa Chunya ni matokeo ya makutano ya kuoana kwa Msafwa, Msukuma na Mnyamwezi kisha kukawepo Mbungu. Baadae wakahamia Wakinga, Wabena na Wawanji toka Iringa.
 
==Ngoma za asili==
NGOMA ZA ASILI
ngomaNgoma kuu ya asili ya wasafwaWasafwa ni ngoma ichezwayo wakati wa sherehe, matambiko na mavuno. Ngoma hiihiyo maarufu huitwa " mbeeta " . Huchezwa kwa kutumia filimbi, pembe za wanyama, mbegu zilizo ndani ya makopo na vingine vingi. Ngoma za asili huchezwa kwa sasa hasa iteweItewe, ikukwaIkukwa na ifumboIfumbo. Hakika kwa kule bado wanaenzi asili.
 
==Kilimo==
ngoma kuu ya asili ya wasafwa ni ngoma ichezwayo wakati wa sherehe, matambiko na mavuno. Ngoma hii maarufu huitwa " mbeeta " . Huchezwa kwa kutumia filimbi, pembe za wanyama, mbegu zilizo ndani ya makopo na vingine vingi. Ngoma za asili huchezwa kwa sasa hasa itewe, ikukwa na ifumbo. Hakika kwa kule bado wanaenzi asili.
Wasafwa ni kabila la wakulima ambao hulima sana viazi, mahindi, ngano, numbu, karanga, maharage na mazao mengine kama miti. maeneo Wasafwayenye Piamvua ninyingi wafanyabiasharakama hasa viaziRungwe na vitunguuMbeya swaumuvijijini. Wasafwa hulimapia sanani maeneowafanyabiashara yenyehasa mvuaya nyingi kama rungweviazi na mbeyavitunguu vijijiniswaumu.
 
Kutokana na kilimo wametawanyika Tanzania na kwenda maeneo yenye mvua, wapo kwa wingi Arusha, hasa Arusha chini na meruMeru, wapo mangMang'ola karatuKaratu, muhezaMuheza Tanga, West west kilimanjaroKilimanjaro, usaUsa Arusha, Mufindi muffindi iringaIringa, njombeNjombe, maketeMakete na morogoroMorogoro.
KILIMO
 
==Wasafwa na Mbeya==
Wasafwa ni kabila la wakulima ambao hulima sana viazi, mahindi, ngano, numbu, karanga, maharage na mazao mengine kama miti. Wasafwa Pia ni wafanyabiashara hasa viazi na vitunguu swaumu. Wasafwa hulima sana maeneo yenye mvua nyingi kama rungwe na mbeya vijijini.
Neno mbeyaMbeya ni neno litokanalo na lugha ya kisafwaKisafwa likiwa linatamkwa ibheya likimaanisha chumvi. Wafanyabiashara walifika mbeyaMbeya na kubadilishana chumvi toka chunyaChunya na mlima mbeyaMbeya kwa bidhaa nyingine. Ilikua ni ngumu wageni kutamka neoneno ibheya na, hivyo wakajikuta wanatamka imbeya. Baadae miaka yamnamo 1927, wakati wa usanifishaji wa kiswahiliKiswahili, neno hilo likasanifishwa na kuwa mbeyaMbeya.
 
Maneno asilimia 90 ya maeneo ndani ya jiji la mbeyaMbeya yanatafsiriwa kwa kisafwaKisafwa.
Pia hujishughulisha na biashara
 
MfanoMifano: neno mbaliziMbalizi _ mbalisi
Kutokana na kilimo wametawanyika Tanzania na kwenda maeneo yenye mvua, wapo kwa wingi Arusha hasa Arusha chini na meru, wapo mang'ola karatu, muheza Tanga, west kilimanjaro, usa Arusha, muffindi iringa, njombe, makete na morogoro.
 
WASAFWA NA MBEYA
 
Neno mbeya ni neno litokanalo na lugha ya kisafwa likiwa linatamkwa ibheya likimaanisha chumvi. Wafanyabiashara walifika mbeya na kubadilishana chumvi toka chunya na mlima mbeya kwa bidhaa nyingine. Ilikua ni ngumu wageni kutamka neo ibheya na hivyo wakajikuta wanatamka imbeya. Baadae miaka ya 1927 wakati wa usanifishaji wa kiswahili neno hilo likasanifishwa na kuwa mbeya.
 
Pia
 
Maneno asilimia 90 ya maeneo ndani ya jiji la mbeya yanatafsiriwa kwa kisafwa.
 
Mfano neno mbalizi _ mbalisi
 
Loleza _ lolezya (sindikiza)
Line 111 ⟶ 104:
Uyole _ iyoole
 
Igawilo _ kigavilo ( sehemu ya kugawania )
 
Isyesye _ inzyesye
Line 119 ⟶ 112:
Ijombe _ aina ya mti
 
==Majina ya Wasafwa==
N. k
Majina ni sehemu ya utamaduni wa wasafwaWasafwa, mtoto hupewa jina kutokana na tukio au kumbukumbu flanifulani. Mfano mtu akiitwa Nzala, huyo alizaliwa kipindi cha njaa.
 
Mbwiga _ mtoto wa kiume aliekuaaliyekua kwa kuumwa umwakuumwaumwa na kupewa madawa
Kiongozi mkuu wa kimila huitwa Mwene na kwa sasa Mwene ni Rockety mwanshinga.
 
Mbozyo _ mtoto wa kike aliekua kwa kuumwa umwakuumwaumwa na kutibiwa kwa miti shamba
MAJINA YA WASAFWA
 
Pia kuna jina la Kisafwa "Nkundi'. Jina hili anapewa mtoto ambaye watangulizi wake wote wamefariki. Zamani kulikuwa na shida kubwa ya kufa watoto kwa mfuatano katika familia, kwa na kwahiyohiyo basi mtoto aliyekua vyema alipewa jina la Nkundi, maana ya Inkundi kisafwakwa Kisafwa ni vumbi. Sasa wazaziWazazi walitoa jina hilo kwa kuonesha kukata tamaa kuwa hata huyo aliyezaliwa atakuwa mali ya vumbi.
Majina ni sehemu ya utamaduni wa wasafwa, mtoto hupewa jina kutokana na tukio au kumbukumbu flani. Mfano mtu akiitwa Nzala, huyo alizaliwa kipindi cha njaa.
 
"Esose' kwa Kisafwa maana yake ni kuzaa mtoto asiye na baba rasmi. Zamani hiihilo ilikuwa nililikuwa tukio la nadra sana na ilionekana ajabu sana kusikia binti wa fulani "asosile umwana".
Mbwiga _ mtoto wa kiume aliekua kwa kuumwa umwa na kupewa madawa
 
Vinginevyo siku za huku baadaye majina hayahayo yamekuwa yakitumiwa tofauti na maana zake halisi kutokana na ukweli kwamba akina bibi wanarithisha majina yao ili yaendelee kuwepo hata baada ya wao kutoweka.
Mbozyo _ mtoto wa kike aliekua kwa kuumwa umwa na kutibiwa kwa miti shamba
 
Pia kuna jina kwa Kisafwa "Nkundi'.
 
Jina hili anapewa mtoto ambaye watangulizi wake wote wamefariki. Zamani kulikuwa na shida kubwa ya kufa watoto kwa mfuatano katika familia, na kwahiyo basi mtoto aliyekua vyema alipewa jina la Nkundi, maana ya Inkundi kisafwa ni vumbi. Sasa wazazi walitoa jina hilo kwa kuonesha kukata tamaa kuwa hata huyo aliyezaliwa atakuwa mali ya vumbi.
 
"Esose' kwa Kisafwa maana yake ni kuzaa mtoto asiye na baba rasmi. Zamani hii ilikuwa ni tukio la nadra sana na ilionekana ajabu sana kusikia binti wa fulani "asosile umwana"
 
Vinginevyo siku za huku baadaye majina haya yamekuwa yakitumiwa tofauti na maana zake halisi kutokana na ukweli kwamba akina bibi wanarithisha majina yao ili yaendelee kuwepo hata baada ya wao kutoweka.
 
Wapo watoto sasa hivi wanaitwa 'Matundu' bila maana halisi ya neno hilo.
 
Matundu kwa kisafwaKisafwa ni majani ya mmea wowote. Mtu alipoitwa Matundu ilimaanisha kuwa amepatikana kwa njia za madawa ya majani asilia.
 
Pia yapo majina ya koo na mengi huwa na MWA...... mwanzoni mfano mwalingo, mwanyanje, mwaihoyo, mwantinda, mwandele, mwanzanga, mwasote, mwanzanga, mwangoka, mwanandodo, mwaanzala , mwanyonga , mwanzonga , mwalyambi ,mwajafu, mwansanga , mwanguku , mwaamudu, mwalyego, mwandiya , mwasoni, n. k.
 
Pia yapo majina ya koo na mengi huwa yanaanza na Mwa...... kwa mfano Mwalingo, Mwanyanje, Mwaihoyo, Mwantinda, Mwandele, Mwanzanga, Mwasote, Mwanzanga, Mwangoka, Mwanandodo, Mwaanzala, Mwanyonga, Mwanzonga, Mwalyambi, Mwajafu, Mwansanga, Mwanguku, Mwaamudu, Mwalyego, Mwandiya, Mwasoni, n.k.
Pia wapo akina
 
manzozi,Pia wapo magwillaakina Manzozi, Magwilla, sijangaSijanga, sijonjoSijonjo, simwingaSimwinga, yilyeleloYilyelelo, ndabhisheNdabhishe, masimbani Masimbani, lyoto Lyoto, lingoLingo, Ngatele , Ndaduu, Ndilwene , Ndangano, Gwilla , zyoni Zyoni,malema Malema, nzaluNzalu, sewaSewa, selinaSelina, Nsolo, sambwe Sambwe, nzambwe Nzambwe, mponzi Mponzi, zella Zella, Ndongole, ,Nzongwa, shitambalaShitambala, fwokile, selelaFwokile, Selela na mengine meeengimengi.
 
Siku hizi watoto wengi wa mbeyaMbeya yaani wakisafwaWasafwa hupewa majina kutokana na ama baba ni mpenzi wa mchezaji fulani au mwanamzikimwanamuziki. Wapo kwa sasa watoto huitwa Ronaldo, Beckham, Rooney, Nelly, Awilo, Yesu, lowasaLowasa, kikweteKikwete, messMessi, Zidane na mengine meengimengi.
 
DINI NA MIUNGU