Wasafwa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 135:
Siku hizi watoto wengi wa Mbeya yaani Wasafwa hupewa majina kutokana na ama baba ni mpenzi wa mchezaji fulani au mwanamuziki. Wapo kwa sasa watoto huitwa Ronaldo, Beckham, Rooney, Nelly, Awilo, Yesu, Lowasa, Kikwete, Messi, Zidane na mengine mengi.
 
==Dini==
DINI NA MIUNGU
Wasafwa wengi wao ni wakristoWakristo na wapaganiWapagani, labda nusu nusu. Ni ngumu sana kumkuta msafwaMsafwa mwislamuMwislamu. Wale wapaganiWapagani husali maeneo ya misitu maarufu kama "maganjo " kama lile lililopo pale jijini mbeyaMbeya. Wengi bado wanaamini katika [[miungu. Ni ukweli kwamba 50% ya wasafwa ni wakristo na 50% wapagani]].
 
Uchawi mkuu kwa wasafwaWasafwa huitwa ITUNGA Itunga na wale wauaji wa kichawi huitwa MBUDAMbuda. Mambo hayahayo ni ya kimila hivyo imekuaimekuwa ngumu sana kuwabadilisha baadhi ya watu .
Wasafwa wengi wao ni wakristo na wapagani. Ni ngumu sana kumkuta msafwa mwislamu. Wale wapagani husali maeneo ya misitu maarufu "maganjo " kama lile lililopo pale jijini mbeya. Wengi bado wanaamini katika miungu. Ni ukweli kwamba 50% ya wasafwa ni wakristo na 50% wapagani.
 
Uchawi mkuu kwa wasafwa huitwa ITUNGA na wale wauaji wa kichawi huitwa MBUDA. Mambo haya ni ya kimila hivyo imekua ngumu sana kuwabadilisha baadhi ya watu .
 
Yapo mengi sana kuhusu wasafwa na mbeya yao, ila kwa kuhitimisha tu kwa hii historia fupi ni kwamba hawa wasafwa ndio wenyeji wa mbeya. Ni wabantu wazungumzao kisafwa kibantu.
 
Salamu yao kuu ni Mwagona.
{{reflist}}
{{DEFAULTSORT:Safwa}}