Ashley Young : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 7:
Young aliendelea kucheza vizuri kwa Watford katika Ligi Kuu ya Pili, na Januari [[2007]] alihamia [[Aston Villa]] kwa ada ya £ 8 milioni, na kuongezeka kwa £ 9.65 milioni .
 
Alijiweka katika kikosi cha kwanza katika Villa Park na alishinda tuzo ya [[PFA]] Young Player mwaka [[2009]]. Tarehe 23 Juni [[2011]], Young alijiunga na Manchester United kwa ada isiyojulikana.
 
Amekwenda kushinda kila kombe linalopatikana katika soka ya Kiingereza, kushinda [[FA]]Community Shield mwaka [[2011]], Ligi Kuu ya mwaka [[2013]], FA Cup mwaka [[2016]] na Kombe la [[EFL]] mwaka [[2017]].