Bunduki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kuhusu kasiba, mpangilio |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[Picha:Armas Infantería EA.JPG|thumb|Aina mbalimbali za bunduki]]
[[File:TKB-059.jpg|thumb|[[TKB-059]].]]
'''Bunduki''' ni [[silaha]] inayorusha [[risasi]] dhidi ya shabaha yake. Ndani ya bunduki inatokea mlipuko wa [[baruti]] na [[gesi]] joto za mlipuko zinasukuma risasi
Bunduki ya kisasa huwa na akiba ya [[ramia]] katika [[chemba]] yake isipokuwa silaha kadhaa za kuwinda. Silaha za kijeshi huwa na chemba zonazoshika risasi zaidi ya 100.
== Aina za bunduki ==
Kwa kawaida neno "bunduki" linataja [[silaha za moto]] zenye kasiba ndefu zinazoshikwa
* [[Gobori]] ni mtangulizi wa bunduki
▲* [[Gobori]] ni mtangulizi wa bunduki ambako risasi na baruti zinaingizwa kupitia mdomo wake katika kasiba. Kasiba yake ni nyororo, haina mifuo. Kwa hiyo haiwezi kulenga kwa umakini. Inapiga mara moja tu halafu ni lazima kuijaza upya. Aina hii ni silaha ya kihistoria lakini hupatikana pia kama silaha inayotengenezwa nyumbani.
* Bunduki kubwa zaidi zinazosimama kwa magurudumu huitwa [[mzinga]].
* Bunduki ndogo yenye kasiba fupi ni [[bastola]].
Line 18 ⟶ 16:
* [[Bunduki ya marisau]] hutumiwa kwa kuwinda wanyama ikifyatua risasi nyingi ndogondogo. Ni rahisi zaidi kushika shabaha lakini haipigi mbali.
==Viungo vya nje==
{{commonscat|Projectile weapons|Bunduki}}
{{tech-stub}}
[[Jamii:Silaha]]
|