Ufalme wa Bizanti : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 13:
* [[Uvamizi]] wa [[Waarabu]] [[Waislamu]] kuanzia mwaka [[636]] uliosababisha kupotea kwa majimbo ya [[Afrika ya Kaskazini]], [[Misri]] na [[Shamu]]
* Uvamizi wa [[jeshi]] la [[Wakristo]] la [[Vita vya msalaba]] walioteka mji wa Konstantinopoli mwaka [[1204]]. Shambulio hili lilisababisha [[nguvu]] za [[ufalme]] kufifia kabisa. Hata baada ya watawala wa Bizanti kurudi Konstantinopoli walikosa nguvu ya kujihami dhidi ya [[Waturuki]] [[Waosmani]]. Hatimaye hao waliteka Konstantinopoli mwaka [[1453]] na kumaliza kabisa Bizanti uliokuwa umetunza [[urithi]] wa [[Roma ya Kale]] hadi wakati ule.
{{madola}}
 
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Madola]]
 
[[Jamii:Dola la Roma]]
[[Jamii:Istanbul]]