Silabi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Tags: Reverted Mobile edit Mobile web edit
Mstari 1:
Silabi ni kipashio cha lugha ya kiswahili ambalo ni pigo la sauti katika neno.
'''Silabi''' ni kipashio cha [[Fonolojia|kifonolojia]] kinachohusu [[matamshi]] ambapo [[sauti]] za [[lugha]] hutamkwa mara moja kwa pamoja kama fungu moja la sauti. Ama ni fungu la [[fonimu]] linalotamkika kwa pamoja na kwa mara moja. Kwa mfano katika [[neno]] ''kaka'' mna mafungu mawili: ''ka'' na [[ka]].
 
 
Maneno kufanywa na silabi. Maneno mafupi huwa na silabi 1 pekee. Maneno mengine huwa na silabi zaidi kama 2, 3 au nyingi. Silabi fupi sana inaweza kuwa [[vokali]] 1 pekee au [[konsonanti]] 1 kama "m" katika "m-to-to".